Mume Mwema Anapatikanaje?


ungelinipa kipaumbele nami ningelikupa kipa umbele kukushauri. Kifupi lolote aliloahidia mwanamke au mwananume lipo pande zote mbili kwasababu Aliahidi watakuwa mwili mmoja na Alichokiunganisha mwanadamu kamwe asikitenganishe..............
 
Habarini bandugu marafiki zangu wote na wasio marafiki pia.

Naingia kwa ujio kama alivyokuja Raisi Obama kimkuku kuku na wakiana kwa leo wapendwa wangu
marafiki zangu ninaingia kiimani zaidi na ni vyema muelewe nilichoamua kukizungumzia hapa na sio
kufakamia bila hata kuelewa topic hii yasemaje: Kabla sijaenda mbele zaidi tazama picha hii hapa:

View attachment 100908 na hii View attachment 100909 hapa tena View attachment 100910 mwisho View attachment 100911


Kila mmoja wetu anajua kua Maandiko matakatifu yanavyosema sana jinsi ya kupata Mke kuliko Mume na maandiko maarufu ni kama-‘’Mithali18:22-‘’Apataye mke apata kitu chema; Naye ajipatia kibali kwa Bwana’’ na Mithali.31:10-’’Mke mwema( Kiswahili imetumia neno moja tu .’’Mwema’’ lakini Kiingerea ktk Bible mbalimbali imetumia maneno mengi yenye nguvu ya ajabu na kushangaza kujua kumbe Mwanamke mtarajiwa kuwa Mke ni kitu kizuri na cha ajabu sana hasa aliyetoka kwa Bwana. Maneno yaliyotumika ni kama.’’ wife of noble character’’, ‘’capable’’, ‘’intelligent’’ ‘’virtuous woman’’, ‘a competent wife’’, ‘’worthy woman’’), ni nani awezaye kumwona? Maana kima chake chapita kima cha marijani. Tena Biblia ya King James na New King James ndizo zimetumia neno ‘’Virtuous woman’’ ( notice: Ni woman!) na maana ya neno ‘’Virtuous’’ ni ‘’good’’, ‘’moral’’, ‘’ethical’’, ‘’upright’’, ‘’honourable’’, ‘’excellent’’, ‘’pure’’, ‘’worthy’’, ‘’honest’, ‘’righteous’’, ‘’exemplary’’, ‘’squeaky clean’’, ’’blameless’’, ’’praiseworthy’’, ‘’incorruptible’’, ’’high-principled’’), pia Mwanzo.24:1-67.

Katika Agano Jipya, tunakutana na neno kuchumbia au Mchumba wazi wazi ktk Luka.2:5 ingawa hatuambiwi Joseph (yusufu) alimpataje mdada Mary (Maria mama wa Yesu) Kwakua ni ivyo kwamba Bible imeongelea sana kuchumbia au Mchumba wazi wazi ktk Luka.2:5 ingawa hatuambiwi Joseph alimpataje mdada Mary. Kwakuwa ni ivyo kwamba Bible imeongelea sana kupata Mke mwema ambaye anapatikana tu kwa Bwana, mchumba bora je? anayepelekea mke mwema, tunampataje? kwa kizazi chetu cha leo cha DOT .COM ambapo hatuchanguliwi Wachumba/Wake zetu na wapendwa marafiki zetu, Viongozi wa Kanisa. Maparoko au Wazazi kama zamani, tunafanyaje kuwa salama?

Tutafanyaje kumpata mchumba mwema (mume) kwa kizazi hichi jamani na je kwanini haya maneno hayakuandikwa kwenye Bible? kwani sisi madada tunachanganyikiwa nami pia yameniconfuse mwenzenu kabisa wala sijaelewa, kwani Mume (Mwanaume) mwema hapatikani kwa Bwana? au ni versa vesa tu hapa.ambayo imewekwa, kwani hakuna wanaume wema wa kuolewa nao.? Ndo mana nimependa niwashirikishe jambo hili la kiimani tuchambue kidogo. kwani huwa nikisoma vifungu hivi vinanitatiza sana. Nakuwa sielewi kabisa my frendo. HAKUNA MWANAUME MWEMA TOKA KWA MUNGU?
Karibuni mabestito kwa uchambuzi zaidi hapa.


cc: Nicas Mtei, Ruttashobolwa, Erickb52, Mr. Rocky, Arushaone, Mtambuzi, Mamndenyi, lara 1,
stevoh, jouneGwalu, Kipaji Halisi, Jiwe Linaloishi, Filipo, Liverpool, Passion Lady, charminglady, Paloma, Mentor, Heaven on earth, everln salt, gfsonwin, Lady doctor, Asprin, Madame B, Lucas, @Rular Swaga, Lyagwa, Ben Saanane, mimisa, na marafiki zangu wote jongeeni

Mamy I'm happy that you read the Bible see this blog Heather Lindsey itakupa inspiration za kupata mumw mwema its very good....we can keep sharing,be blessed.
 
Mi nahisi maandiko yametutenga wanawake mana wanaume tu ndo wameelekezwa kwe2 ila sisi twapataje waume wema haijasema ! Ila kwa akili zangu mi nahisi maandiko yameona jinsi gani wanawake 2livyo MUHIMU sana katika jamii,kanisani,shuleni,nyumbani na kwengineko that y wanaume wameelekezwa kuchagua MKE MWEMA ili asikosee kujenga ama kuendeleza FAMILIA iliyonjema mana mwanaume anapoteleza tuu! Ndo hayo unaskia mara mwanamke kaomba talaka,mara mke haelewani na mama mkwe,mala kafumaniwa full vurugu! All in all mamaa Lady MUME WAKUFANANA NAWE anapatikana kulingana na INTEREST ZAKO,TABIA ZAKO, + MAOMBI YA KUKUTANISHWA NA HUYO MUMEO MTARAJIWA baasi! Ni hayo tu my dia!

Kwele kwetu kijijini siku za harusi utasikia vigeregere na nyimbo zikisikika hivi: chombo chombo chomboooo chombo hicho chombooo chombo hicho chomboooooo, huo wimbo huimbiwa binti aliyeolewa
 
Yule atakayekuja kukuoa ndiye atakayekuwa mwanaume mwema kwako wewe!!! ANGALIZO: kabla hujatafuta na kupata mume mwema, unatakiwa uanze wewe kuwa mke mwema!!!!
 
umenielewa kivipi bestito?

Kwamba kutafuta mchumba ni zaidi ya maandiko, lazima upate muda pia wa kuruhusu uhusiano wenu uweze kusomwa na kila moja. Hauji kwa maombi tu au kuonyeshwa tu na bwana.

Swali la kimsingi ni je, wahusika wanapata muda wa kusomana, kutafakari na kuchukua hatua stahiki nkatika kutoa maamuzi?
 
kwangu nashindwa kukujibu ngoja nimwite Bujibuji anisaidie hapa maana yeye ni baba mchungaji
Kwamba kutafuta mchumba ni zaidi ya maandiko, lazima upate muda pia wa kuruhusu uhusiano wenu uweze kusomwa na kila moja. Hauji kwa maombi tu au kuonyeshwa tu na bwana.

Swali la kimsingi ni je, wahusika wanapata muda wa kusomana, kutafakari na kuchukua hatua stahiki nkatika kutoa maamuzi?
 
Last edited by a moderator:
asante kwa ushauri huu labda niongezee ushauri au neno jingine hapa bestito.
ungelinipa kipaumbele nami ningelikupa kipa umbele kukushauri. Kifupi lolote aliloahidia mwanamke au mwananume lipo pande zote mbili kwasababu Aliahidi watakuwa mwili mmoja na Alichokiunganisha mwanadamu kamwe asikitenganishe..............
 
Habarini bandugu marafiki zangu wote na wasio marafiki pia.

Naingia kwa ujio kama alivyokuja Raisi Obama kimkuku kuku na wakiana kwa leo wapendwa wangu
marafiki zangu ninaingia kiimani zaidi na ni vyema muelewe nilichoamua kukizungumzia hapa na sio
kufakamia bila hata kuelewa topic hii yasemaje: Kabla sijaenda mbele zaidi tazama picha hii hapa:

View attachment 100908 na hii View attachment 100909 hapa tena View attachment 100910 mwisho View attachment 100911


Kila mmoja wetu anajua kua Maandiko matakatifu yanavyosema sana jinsi ya kupata Mke kuliko Mume na maandiko maarufu ni kama-Mithali18:22-Apataye mke apata kitu chema; Naye ajipatia kibali kwa Bwana na Mithali.31:10-Mke mwema( Kiswahili imetumia neno moja tu .Mwema lakini Kiingerea ktk Bible mbalimbali imetumia maneno mengi yenye nguvu ya ajabu na kushangaza kujua kumbe Mwanamke mtarajiwa kuwa Mke ni kitu kizuri na cha ajabu sana hasa aliyetoka kwa Bwana. Maneno yaliyotumika ni kama. wife of noble character, capable, intelligent virtuous woman, a competent wife, worthy woman), ni nani awezaye kumwona? Maana kima chake chapita kima cha marijani. Tena Biblia ya King James na New King James ndizo zimetumia neno Virtuous woman ( notice: Ni woman!) na maana ya neno Virtuous ni good, moral, ethical, upright, honourable, excellent, pure, worthy, honest, righteous, exemplary, squeaky clean, blameless, praiseworthy, incorruptible, high-principled), pia Mwanzo.24:1-67.

Katika Agano Jipya, tunakutana na neno kuchumbia au Mchumba wazi wazi ktk Luka.2:5 ingawa hatuambiwi Joseph (yusufu) alimpataje mdada Mary (Maria mama wa Yesu) Kwakua ni ivyo kwamba Bible imeongelea sana kuchumbia au Mchumba wazi wazi ktk Luka.2:5 ingawa hatuambiwi Joseph alimpataje mdada Mary. Kwakuwa ni ivyo kwamba Bible imeongelea sana kupata Mke mwema ambaye anapatikana tu kwa Bwana, mchumba bora je? anayepelekea mke mwema, tunampataje? kwa kizazi chetu cha leo cha DOT .COM ambapo hatuchanguliwi Wachumba/Wake zetu na wapendwa marafiki zetu, Viongozi wa Kanisa. Maparoko au Wazazi kama zamani, tunafanyaje kuwa salama?

Tutafanyaje kumpata mchumba mwema (mume) kwa kizazi hichi jamani na je kwanini haya maneno hayakuandikwa kwenye Bible? kwani sisi madada tunachanganyikiwa nami pia yameniconfuse mwenzenu kabisa wala sijaelewa, kwani Mume (Mwanaume) mwema hapatikani kwa Bwana? au ni versa vesa tu hapa.ambayo imewekwa, kwani hakuna wanaume wema wa kuolewa nao.? Ndo mana nimependa niwashirikishe jambo hili la kiimani tuchambue kidogo. kwani huwa nikisoma vifungu hivi vinanitatiza sana. Nakuwa sielewi kabisa my frendo. HAKUNA MWANAUME MWEMA TOKA KWA MUNGU?
Karibuni mabestito kwa uchambuzi zaidi hapa.


cc: Nicas Mtei, Ruttashobolwa, Erickb52, Mr. Rocky, Arushaone, Mtambuzi, Mamndenyi, lara 1,
stevoh, jouneGwalu, Kipaji Halisi, Jiwe Linaloishi, Filipo, Liverpool, Passion Lady, charminglady, Paloma, Mentor, Heaven on earth, everln salt, gfsonwin, Lady doctor, Asprin, Madame B, Lucas, @Rular Swaga, Lyagwa, Ben Saanane, mimisa, na marafiki zangu wote jongeeni
Hoja nzuri sana kwa zama zetu

Sent from my SM-A720F using Tapatalk
 
Mi nahisi maandiko yametutenga wanawake mana wanaume tu ndo wameelekezwa kwe2 ila sisi twapataje waume wema haijasema ! Ila kwa akili zangu mi nahisi maandiko yameona jinsi gani wanawake 2livyo MUHIMU sana katika jamii,kanisani,shuleni,nyumbani na kwengineko that y wanaume wameelekezwa kuchagua MKE MWEMA ili asikosee kujenga ama kuendeleza FAMILIA iliyonjema mana mwanaume anapoteleza tuu! Ndo hayo unaskia mara mwanamke kaomba talaka,mara mke haelewani na mama mkwe,mala kafumaniwa full vurugu! All in all mamaa Lady MUME WAKUFANANA NAWE anapatikana kulingana na INTEREST ZAKO,TABIA ZAKO, + MAOMBI YA KUKUTANISHWA NA HUYO MUMEO MTARAJIWA baasi! Ni hayo tu my dia!
Mungu hajatenga wanawake mkuu, tena kwa anayeisoma vema biblia mwanamke ana mzigo mwepesi mno kuliko mwanamume

Sent from my SM-A720F using Tapatalk
 
Swali lako ni gumu na "complex" kidogo kwa sababu kwa maoni yangu lina-cover sio tu psychology lakini hata spiritual matters.Majibu yangu ntayagawa katika maeneo ya kiroho na ya kisaikologia kama ifuatavyo:
1;SIFA UNAZO?:Ili kumpata mume/mchumba mwema....jiulize "wewe ni mwema?' na unadhani mume mwema ana vigezo gani?wewe unavyo?Kwa sababu utaidanganya nafsi yako bure kama umeweka viwango ambavyo hata wewe huna!Kumbuka ndege waliofanana huruka pamoja.
2;UMRI:Mwanaume kijana mwenye umri kati ya miaka 32-35 mpaka 40 ni mwenye uzoefu na mambo mengi na anaweza kuhimili misukosuko ya ndoa na maisha.Kwa lugha nyingine huu ni umri ambao mwanaume anajua vipaumbele vyake na nini anatakiwa afanye na ni kwa wakati gani!Huu ni wakati ambao hata kama alikuwa ni mwenda disco sana basi anweza kupunguza na kuacha kabisa na kuwa tayari katika maisha ya ndoa...tofauti kabisa na kijana wa miaka 25,28 nk.
3;ELIMU:Dunia imebadilika na ina changamoto nyingi sana.Ni muhimu kwa mume unayemtaka awe na elimu angalau ya advance diploma/bachelor degree.Hili litasaidia sii katika changamoto za kifedha hata katika malezi ya watoto na mahusiano yenu.Lakini elimu pia inasaidia hata uelewa wa mambo complex kama ya kiimani na kupunguza uhafidhina(unoko usio wa lazima).
4;NGUVU YA MAOMBI:Prayers are very powerful tools.Funga na kusali kwa imani utafanikiwa tu.Biblia ilishasema "Mke mwema hutoka kwa bwana"LIKEWISE mume mwema hutoka huko huko kwa bwana.Sio rahisi kuanza kumtafuta tu mume/mke mwema...na ukampata ni vizuri kumtanguliza Mungu ktk hili.
Mke mwema, mbona biblia iko wazi sana? Kwa nini kutumia hekima ya kibinadamu kuliko maandiko?

Sent from my SM-A720F using Tapatalk
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom