ChaMtuMavi
JF-Expert Member
- Oct 15, 2008
- 330
- 8
Msiba mtamu kwa jirani, utautafutia kanga mpya au kitenge cha bei na salon utakwenda kujipamba ili uhudhurie mazishi.
Kwa kweli maswaala ya ndoa na majaribu yaliyomo yanahitaji ujasiri. Hakuna njia moja ya utatuzi.
Pole wewe dada kwa kuzikuta zana kwa mumeo halafu hujajua zimetumikaje? Ni majaribu makubwa sana.
Ushauri:
Kanunue za kike weka hapo chumbani, mumeo akirudi jipambe, chukua zana kama mbili na umwage unatoka kidogo. Au ashuhudie box limekwisha.
Akikuuliza mwambie umejifunza kutoka kwake ya kwamba anakupenda sana, nawe unampenda kulikoni, hivyo nawe umeamua kumlinda kama ambavyo yeye anavyokulinda. Mpe na kiss la nguvu "MMBWWAAA!!!!"
Kwa kweli maswaala ya ndoa na majaribu yaliyomo yanahitaji ujasiri. Hakuna njia moja ya utatuzi.
Pole wewe dada kwa kuzikuta zana kwa mumeo halafu hujajua zimetumikaje? Ni majaribu makubwa sana.
Ushauri:
Kanunue za kike weka hapo chumbani, mumeo akirudi jipambe, chukua zana kama mbili na umwage unatoka kidogo. Au ashuhudie box limekwisha.
Akikuuliza mwambie umejifunza kutoka kwake ya kwamba anakupenda sana, nawe unampenda kulikoni, hivyo nawe umeamua kumlinda kama ambavyo yeye anavyokulinda. Mpe na kiss la nguvu "MMBWWAAA!!!!"