Mume kufukuzwa kazi kumenifundisha kuchepuka, sasa nimekuwa sugu

Alafu unakuta kabla ya hii ID ya 2017 , alikua na ya mwanzo ya 2012 usikute ni ID maarufu humu balaa.

Alafu baada ya hapo 2017, usikute ndio anahii ID nyingine maarufu ya huyu Dada anayejiweka Mpole mcheshi.


Hahahahahha sio mbaya lkn


Mtoa mada kama unasoma koment hii...gonga like tu namoyo wangu utulie.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bhandugu salaam!

Nina yangu ya moyoni wapendwa wacheni niyatoe nipate kupumua! Mimi nimeolewa tangu mwaka 2008, tuna watoto wawili na mume wangu.

Lakini tangu mwaka jana February mume wangu alipata matatizo kazini kazi ikawa imeisha, na mimi ni mama tu wa nyumbani, huwa saa nyingine nafanya vibiashara vidogo vidogo kwa msimu tena.

Mwezi huu wa February tunatimiza mwaka mume pasipo kuwa na kazi, watoto wanasoma private school sababu alikuwa na kazi nzuri, yuko na elimu nzuri, akipata kazi huwa inakuwa ya maana.

Sasa mwenzenu maisha yalinishinda, ilifikia point mwanaume anashinda ndani tu hatuna chochote cha kula na watoto, nikaona hakuna namna wacha niokoe jahazi kama mama. Kuna jamaa alikua ananimendea tangu kitambo sana nilikua sina mpango sababu mume alikua akinipa kila nilichotaka.

Sasa kwa wakati huu na shida hizi ikabidi nimkubalie. Tukaenda mji wa mbali tukapima afya, tukazindua mahusiano, mapenzi yakaanza pole pole, jamaani mpaka sasa tuna miezi nane katika kuchepuka (nae ana mke na watoto wawili).

Naomba niseme hivi; NILICHELEWA KUCHEPUKA NA HUYU BWANA, maana mambo anayonipa sijawahi kupata. Mpaka sasa yeye ndio kanipa pesa nimelipa kodi ya nyumba, kanipa ada za wanangu, ananipa matumizi ya nyumbani, maisha safi, stress zote kwiiishhhhaaaa niko na tabasamu masaa yote.

Tumesisitizana kila mmoja aheshimu ndoa yake, nimemsisitiza sana asibadili mwenendo wake mbele ya mke wake na familia yake. Nami nimejiapiza kumuheshimu mume wangu mpaka mwisho, tunafanya kwa usiri mkubwa sana lakini kila mmoja wetu anapata raha ile mbaya.

Akinipa appointment sifanyagi ajizi, sibakishi kitu, nampa hasa hadi inapata moto, nikirudi home kimyaa! Sasa huyu mume wangu anachonishangaza ni kwamba akitaka kutoka ananiomba nauli, nami nampa yoyote nilonayo, misosi napika tunakula, watoto wameenda shule kama kawaida, hata hajashangaa wala haulizi hela natoa wapi wala nini, hapo ndio simuelewi!

Eti jamani nisaidieni atakuwa anawaza nini?
Kuna siku utamuelewa tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bhandugu salaam!

Nina yangu ya moyoni wapendwa wacheni niyatoe nipate kupumua! Mimi nimeolewa tangu mwaka 2008, tuna watoto wawili na mume wangu.

Lakini tangu mwaka jana February mume wangu alipata matatizo kazini kazi ikawa imeisha, na mimi ni mama tu wa nyumbani, huwa saa nyingine nafanya vibiashara vidogo vidogo kwa msimu tena.

Mwezi huu wa February tunatimiza mwaka mume pasipo kuwa na kazi, watoto wanasoma private school sababu alikuwa na kazi nzuri, yuko na elimu nzuri, akipata kazi huwa inakuwa ya maana.

Sasa mwenzenu maisha yalinishinda, ilifikia point mwanaume anashinda ndani tu hatuna chochote cha kula na watoto, nikaona hakuna namna wacha niokoe jahazi kama mama. Kuna jamaa alikua ananimendea tangu kitambo sana nilikua sina mpango sababu mume alikua akinipa kila nilichotaka.

Sasa kwa wakati huu na shida hizi ikabidi nimkubalie. Tukaenda mji wa mbali tukapima afya, tukazindua mahusiano, mapenzi yakaanza pole pole, jamaani mpaka sasa tuna miezi nane katika kuchepuka (nae ana mke na watoto wawili).

Naomba niseme hivi; NILICHELEWA KUCHEPUKA NA HUYU BWANA, maana mambo anayonipa sijawahi kupata. Mpaka sasa yeye ndio kanipa pesa nimelipa kodi ya nyumba, kanipa ada za wanangu, ananipa matumizi ya nyumbani, maisha safi, stress zote kwiiishhhhaaaa niko na tabasamu masaa yote.

Tumesisitizana kila mmoja aheshimu ndoa yake, nimemsisitiza sana asibadili mwenendo wake mbele ya mke wake na familia yake. Nami nimejiapiza kumuheshimu mume wangu mpaka mwisho, tunafanya kwa usiri mkubwa sana lakini kila mmoja wetu anapata raha ile mbaya.

Akinipa appointment sifanyagi ajizi, sibakishi kitu, nampa hasa hadi inapata moto, nikirudi home kimyaa! Sasa huyu mume wangu anachonishangaza ni kwamba akitaka kutoka ananiomba nauli, nami nampa yoyote nilonayo, misosi napika tunakula, watoto wameenda shule kama kawaida, hata hajashangaa wala haulizi hela natoa wapi wala nini, hapo ndio simuelewi!

Eti jamani nisaidieni atakuwa anawaza nini?
Vipi bado unaendelea na mume wa mtu au mumeo ashapata kazi tiyari
 
Bhandugu salaam!

Nina yangu ya moyoni wapendwa wacheni niyatoe nipate kupumua! Mimi nimeolewa tangu mwaka 2008, tuna watoto wawili na mume wangu.

Lakini tangu mwaka jana February mume wangu alipata matatizo kazini kazi ikawa imeisha, na mimi ni mama tu wa nyumbani, huwa saa nyingine nafanya vibiashara vidogo vidogo kwa msimu tena.

Mwezi huu wa February tunatimiza mwaka mume pasipo kuwa na kazi, watoto wanasoma private school sababu alikuwa na kazi nzuri, yuko na elimu nzuri, akipata kazi huwa inakuwa ya maana.

Sasa mwenzenu maisha yalinishinda, ilifikia point mwanaume anashinda ndani tu hatuna chochote cha kula na watoto, nikaona hakuna namna wacha niokoe jahazi kama mama. Kuna jamaa alikua ananimendea tangu kitambo sana nilikua sina mpango sababu mume alikua akinipa kila nilichotaka.

Sasa kwa wakati huu na shida hizi ikabidi nimkubalie. Tukaenda mji wa mbali tukapima afya, tukazindua mahusiano, mapenzi yakaanza pole pole, jamaani mpaka sasa tuna miezi nane katika kuchepuka (nae ana mke na watoto wawili).

Naomba niseme hivi; NILICHELEWA KUCHEPUKA NA HUYU BWANA, maana mambo anayonipa sijawahi kupata. Mpaka sasa yeye ndio kanipa pesa nimelipa kodi ya nyumba, kanipa ada za wanangu, ananipa matumizi ya nyumbani, maisha safi, stress zote kwiiishhhhaaaa niko na tabasamu masaa yote.

Tumesisitizana kila mmoja aheshimu ndoa yake, nimemsisitiza sana asibadili mwenendo wake mbele ya mke wake na familia yake. Nami nimejiapiza kumuheshimu mume wangu mpaka mwisho, tunafanya kwa usiri mkubwa sana lakini kila mmoja wetu anapata raha ile mbaya.

Akinipa appointment sifanyagi ajizi, sibakishi kitu, nampa hasa hadi inapata moto, nikirudi home kimyaa! Sasa huyu mume wangu anachonishangaza ni kwamba akitaka kutoka ananiomba nauli, nami nampa yoyote nilonayo, misosi napika tunakula, watoto wameenda shule kama kawaida, hata hajashangaa wala haulizi hela natoa wapi wala nini, hapo ndio simuelewi!

Eti jamani nisaidieni atakuwa anawaza nini?
Lora jigger 17 duh jamaa hajawahi kuuliza hela unatoa wapi?alafu na mm nlikua naomba niipashe Moto..


Siasa mbaya sana
 
Wanaume tupo tofauti sana. Tukiwa na pesa ndo utajua ni mwanaume wa aina gani. Ss hivi anapitiwa tu na ule msemo wa filisika ujue tabia ya mkeo.
 
Jamaa baada ya kukuoa kaacha kukupambania. Kabweteka. Kaacha ku fight for his woman. Hataki hata ufanye kazi. Kaacha kukuimpress na kukuimprove wewe as a person.

Kaachishwa kazi karelax. Mke anaye.

Hiki kilikuwa kipindi cha yeye kukuimpress na namna anavyofight kwa ajili yako. Mwaka mzima bila bila inaonekana kama vile kaacha mapambano.

Tena ana bahati hujamwacha. Kiapo cha kuwa pamoja kwa raha na shida, sio kibali kuendekeza shida bila sababu ya msingi. Ingekuwa ugonjwa sawa. Huo ni upumbavu.
 
Back
Top Bottom