BADILI TABIA
JF-Expert Member
- Jun 13, 2011
- 32,772
- 23,162
lovebite za makalio....nimejifunza hilo..
kumbe zina umuhimu aisee lol
ndo uanze na wewe kumchora shemeji kabla haijawa balaa
lovebite za makalio....nimejifunza hilo..
kumbe zina umuhimu aisee lol
Au mke kajifinya na kumwonyesha jamaa ili apate wivu
oooohhhh nimekwlewaSi kung'atwa bali ni KUNG'ATWA KIMAPENZI a.k.a LOVE BYTE LoL!
Ajitume watu wanaweka lovebite hadi makalioni, kuna watu wabaya jamani, hasa akijua ni mke wa mtu ndio atafanya mavurugu yote hayo lol
oooohhhh nimekwlewa
Haswaa Albedo umenena. Na hata kama anaona anashindwa 'kusema' basi atende!! Ukifika wakati asisubiri kuomba achacharike tu! Kama anatamani kugeuka farasi, asiombe ruhusa yeye ageuke farasi kisha atoe ishara tu, kwa Mr.aone kama ataambiwa 'we tulia!'Unajua MwanajamiiOne kitu kinachoponza katika Ndoa ni Mawasiliano! wanawake wengi huwa wanasimuliana juu ya Sarakasi walizowahi kukutana nazo sasa unakuta Mwanamama badala ya Kumweleza Mme wake juu ya nini anatamani anaishia kwenda kupractice Nje. Vivyo hivyo kwa Wananume huwa tunakuwa so Polite katika Lile Tendo. Kuna kaka yangu alinifundisha kwamba "You have to act like an Animal and be a little bit aggressive when perfoming that THING, That is what most women like" Sijui kama alikuwa sahihi ila ukiangalia hapa Inawezekana kabisa jamaa huwa anamtreat Mke wake kama dada yake. Haya ni Mawazo yangu yaweza kuwa si sahihi
Sijawahi mwenzangushantel vp wewe hujawahi kuliwa masaburi hasdi yatoe alama?
Kweli mwenzangu, iagine asiyejua kutoa hizo lovebite ang'ang'anie kota la mtu mpaka litoe alamaHahhhh Shantel bwana....wakumbushe pia kuwa kisima kilomfaa kukua, chaweza kisimfae mwewe! Lol hukawii kuitwa mchawi watimiza masharti ya mganga!!
kuna kitu wanaume inabidi tujifunze jamani...
wake zetu sio mali zetu kama magari au mbuzi au ngo'mbe....
wao ni binaadamu wenye maamuzi yao hata kama sio mazuri au sahihi....
sasa usiseme umedhalilishwa kwa mkeo kupigwa lovebite za makalio....as if alilazimishwa....
kajidhalilisha mwenyewe.wewe hapo chukua uamuzi tu unao ona unafaaa.....
na hata ukiamua kusamehe..samehe tu,usione ni aibu yako....binadamu wazito....lol
kwani kuyabusu makalio ya mkeo ni kumvunjia heshima?
dah mimi basi sina heshima kabisaa lol
Na hivi mshasema lavu baiti na baiti maana yake kitafunwa haya kama hajatafunwa mtu!!Kweli mwenzangu, iagine asiyejua kutoa hizo lovebite ang'ang'anie kota la mtu mpaka litoe alama
Hilo Nalo Neno
Yawezekana mkewe hatosheki! ikabidi akatafute kwingine, kwa hiyo jamaa pia inabidi ajiulize je anatosheleza!
Missus wako akikwambia 'kiss my ass' utafanyaje?
Yawezekana mkewe hatosheki! ikabidi akatafute kwingine, kwa hiyo jamaa pia inabidi ajiulize je anatosheleza!
Hapo jamaa asamehe tu na kusahau!