fabinyo
JF-Expert Member
- Aug 5, 2011
- 2,991
- 2,108
kwa ufupi sana,
...............nina jirani yangu ambaye pia ni ndugu yangu,ameoa miaka mitatu iliyopita na wanapendana na mkewe, wote niwafanyakazi wa hospital ila tofauti!!!mwaka huu mwanzoni,january,mungu aliwajalia,mkewe akajifungua kwa operation,katoto kazuri kakiume ila haikuwa riziki,baada ya siku moja kakafariki,ilikuwa huzuni sana!!basi tukamzika na maisha yakaendelea na wakamsahau!!
Kwenye mwezi wa saba,ulitokea ugomvi mkubwa baina yao,wakitishiana hata kuuana basi mama mdogo wa mume (anakaa jirani kidogo pia) akamwomba mume kuwa mkewe akakae kwake ili wasuluhishwe, akakubali na baada wiki kikao cha usuluhishi kilifanyika.
Mimi nilikuwemo kikaoni na mke akadai kuwa mume alitumia nguvu kufanya tendo la ndoa wakati afya yake ilikuwa haijatengemaa, ndio chanzo cha ugomvi na mbaya zaidi imepelekea apate mimba jambo ambalo kiafya alikuwa bado hashauriwi,basi yaliongelewa weeeeee...
Yakaisha na wakashikamana tena japo mke alionyesha bado kusononeka sana!!sasa wiki iliyopita yametibuka upya kuliko ile ya kwanza,mume kachacha kwamba mkewe ametoa ile mimba kimya kimya kwani kuna siku mke alilala zamu kama siku tatu hivi(ni kawaida pia na mume huwa anakuwa zamu) hivyo inaonekana alitumia nafasi hiyo kuitoa!!!!.......
Tunajianda kwa usuluhishi tena,nikaona niwashirikishe nyie wadau muhimu katika visa mbalimbali vinavyojiri katika ndoa huku mitaani,licha yakwamba zinafundisha pia nitapata points zaidi za kuongea huko......jamani hiyo hali mnaionaje? Nani alikuwa sahihi hapo? Nini kifanyike katika hizi ndoa zetu maana matatizo hayaishi kila kukicha
...............nina jirani yangu ambaye pia ni ndugu yangu,ameoa miaka mitatu iliyopita na wanapendana na mkewe, wote niwafanyakazi wa hospital ila tofauti!!!mwaka huu mwanzoni,january,mungu aliwajalia,mkewe akajifungua kwa operation,katoto kazuri kakiume ila haikuwa riziki,baada ya siku moja kakafariki,ilikuwa huzuni sana!!basi tukamzika na maisha yakaendelea na wakamsahau!!
Kwenye mwezi wa saba,ulitokea ugomvi mkubwa baina yao,wakitishiana hata kuuana basi mama mdogo wa mume (anakaa jirani kidogo pia) akamwomba mume kuwa mkewe akakae kwake ili wasuluhishwe, akakubali na baada wiki kikao cha usuluhishi kilifanyika.
Mimi nilikuwemo kikaoni na mke akadai kuwa mume alitumia nguvu kufanya tendo la ndoa wakati afya yake ilikuwa haijatengemaa, ndio chanzo cha ugomvi na mbaya zaidi imepelekea apate mimba jambo ambalo kiafya alikuwa bado hashauriwi,basi yaliongelewa weeeeee...
Yakaisha na wakashikamana tena japo mke alionyesha bado kusononeka sana!!sasa wiki iliyopita yametibuka upya kuliko ile ya kwanza,mume kachacha kwamba mkewe ametoa ile mimba kimya kimya kwani kuna siku mke alilala zamu kama siku tatu hivi(ni kawaida pia na mume huwa anakuwa zamu) hivyo inaonekana alitumia nafasi hiyo kuitoa!!!!.......
Tunajianda kwa usuluhishi tena,nikaona niwashirikishe nyie wadau muhimu katika visa mbalimbali vinavyojiri katika ndoa huku mitaani,licha yakwamba zinafundisha pia nitapata points zaidi za kuongea huko......jamani hiyo hali mnaionaje? Nani alikuwa sahihi hapo? Nini kifanyike katika hizi ndoa zetu maana matatizo hayaishi kila kukicha