snowhite
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 17,708
- 23,636
Nashindwa kushangaa na miye aiseee kuhusu hawa ndugu zetu!!
Upande mwingine wanataka uwahudumie kila kitu..sasa bila kufanya kazi hela zinatoka wapi?
Mwambie huyo shogaako mradi anakula na kuvaa avumilie tu..mwambie mumewe anamtafutia maisha..si unajua maisha yalivyo magumu!...ngono sio muhimu kama ugali na samaki!!
makubwa basi,haya ya yote kisa tunaficha mishahara yetu?duh mboni kazi ipo my pacha!duh