Jamani nina jirani yangu yuko soo frustrated na suala la mke wake kuchukua family dominance kiimani kwasababu mwanzo walikuwa wanaenda njia moja na mmewe na watoto wao. Ghafla mke kaanza kwenda kusali sabato na watoto kila jumamosi na kumuacha mumewe akisimama kanisani mwenyewe. Sasa hii imemuadhiri mwanaume kwa kuona kama amebaki mwenyewe. Amejaribu kuongea na mkewe amegoma kusikia. Jamaa amesha tishia kumwacha mkewe kwani amekuwa akimislead watoto wa huyu baba. Tusaidiane afanyeje? this is a true story