mbenda said
JF-Expert Member
- Apr 13, 2019
- 1,019
- 1,945
Nipo around nitarudi
Nipo around nitarudi
Hapa tutaweka maelezo mengi, ndio maana kila tunashauriana kila siku mtu aoe/aolewe na wa dini yake, kimsingi kufanya hivyo ni kuepusha matatizo.
Mimi ni muislam, kwa upande wetu ndoa inakuwa imeshavunjikaMtu anaweza akawa dini yako leo..ila mbeleni akabadili dini akiwa ndani ya ndoa
Kwa dini yeyote? Rekebisha hii sentesi katika uislamu yeyote atakayebadiki dini basi ndoa inakuwa batili hapo hapo na ni kila mmoja atafuata hamsini zake.Ninavyoelewa ndoa ikishafungwa iwe katika dini yeyote,hapo tayari hutambulika kisheria.Mmoja kuhama dini haiathiri ndoa hiyo kwa kuifanya batili,ndoa huvunjwa mahakamani tu.
Kwa dini yeyote? Rekebisha hii sentesi katika uislamu yeyote atakayebadiki dini basi ndoa inakuwa batili hapo hapo na ni kila mmoja atafuata hamsini zake.