nutrient Agar
Member
- Jan 28, 2017
- 53
- 41
Ghafla nikatafakari mkasa+adhabu nikasema wenzetu mnaraha mnaotoa talaka sisi upande wa pili mkataba unae huyo ukio umeoa mtaishia kununiana tu na kupelekana kwa paroko kwa usuluhishi
mkuu Mimi my wife nilimuambia furaha yangu ni ya muhimu Kuliko cheti cha ndoa au vitisho vya kidini.Ghafla nikatafakari mkasa+adhabu nikasema wenzetu mnaraha mnaotoa talaka sisi upande wa pili mkataba unae huyo ukio umeoa mtaishia kununiana tu na kupelekana kwa paroko kwa usuluhishi
kama mkaanga sumu aiseeeMmh kuna wanawake wana roho mbaya jamani