Ni mume kwa miaka zaidi ya 25.
Anasema ameamua kuwa na mtoto nje ya ndoa.
Ndoa ina mtoto mmoja, zaidi ya miaka 23.
Ni ndoa halali ya ki-kristo.
Mtoto alezaliwa hana mwaka. Mume kasema 'aliamua' .
Hii imekaa vipi? Hatua gani mke achukue hatua gani sahihi?
Mtoa mada.... napata shida kidogo kukuelewa hapo kwenye red color.
Haya ameamua tu?? HAkuna kuamua pasipo sababu? .... akueleze hicho kilichompelekea kuamua hivyo!!
mtoa mada.... Napata shida kidogo kukuelewa hapo kwenye red color.
Haya ameamua tu?? Hakuna kuamua pasipo sababu? .... Akueleze hicho kilichompelekea kuamua hivyo!!
Ni mume kwa miaka zaidi ya 25. Anasema ameamua kuwa na mtoto nje ya ndoa. Ndoa ina mtoto mmoja, zaidi ya miaka 23. Ni ndoa halali ya ki-kristo. Mtoto alezaliwa hana mwaka. Mume kasema 'aliamua' . Hii imekaa vipi? Hatua gani mke achukue hatua gani sahihi?
Noda ya watu 3, labda na zaidi - waiojulikana.
'UKIMWI' unapewa nafasi gani hapa?
UKIMWI + it's associated diseases.
Please people. think a bit deep. HIV/AIDS
Kuna wakati nashindwa kuwaelewa wanaume kabisaaaaaa,
Huyu Baba atakuwa na zaidi ya miaka 40 mpaka 50
leo anaenda kuzaa na mwanamke mwingine..hana lolote kacheza faulo kampa dada mimba matokeo ndio hayo dada kamganda umri huo ni wa kuamua kuzaa ?
mara 100000000000000000% nikute mwanaume ana mtoto kuliko aniletee mtoto nikiwa ndani ya ndoa ...
Pole sana dada ..nakosa hata la kusema hapa..
Poleni sana. Sasa mtafanyaje na mambo ndo yameshakuwa hivyo?ndio mana nisemaga ctapokea mtoto chini ya umri wa wanangu, wa mr wa ujana wake nilienae ananitosha kabisa,chini ya umri wa wanangu waleane huko bila mie kushirikishwa kwa lolote, mtoto ana miaka 23 unakaribia kupata mjukuu then unazaa nje, na kama alikuwa anahitaji lakini mama hakupata/shika mimba hayo ni mambo ya mungu solution sio kuzaa nje....wanawake tuna kazi kubwa na hizi ndoa.
Mke ashukuru kupata mtoto wa pili, maana kwa sisi waafrika mtoto mmoja kama Clinton, sio zetu !
Poleni sana. Sasa mtafanyaje na mambo ndo yameshakuwa hivyo?
Walipokea bila ridhaa yako? Sore, tuko ofu topiki hapa ujue honey.asante sana, ndio hivyo tena"till death do us apart".....nikikumbukaga wale waliopokea mahari yangu nashikwa na hacra kweli.
Saafi sana kiongozi - mtoto ni mtoto - hakuna mtoto wa nje!
Walipokea bila ridhaa yako? Sore, tuko ofu topiki hapa ujue honey.
Jamani jamani! Sasa na huyu mama nae akiamua kuzaa wake wa nje nae atakuwa mtoto tuu? Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni! Lolz, dada, Mungu akupe nguvu. Follow your guts mamy but take time to think.Saafi sana kiongozi - mtoto ni mtoto - hakuna mtoto wa nje!