Dig the EA
JF-Expert Member
- Dec 7, 2017
- 277
- 270
Mwanamke kaolewa miaka zaidi ya kumi. Katika hali ya kuishi, kawa na mchepuko katika kuwasiliana na mtu wake wa nje/mchepuko, meseji za mapenzi zinafumwa na mume wake.
Wanawake huwa wanalimalizaje na wanaume huwa wana chukua hatua gani?
Kwanini wana ndoa hutoka nje ya ndoa zao?
Wanawake huwa wanalimalizaje na wanaume huwa wana chukua hatua gani?
Kwanini wana ndoa hutoka nje ya ndoa zao?