Mulugo: Mwaka Kesho Serikali itashindwa kuwapeleka watoto Sekondari

Amekuwa muwazi kwamba anamiliki shule inaitwa "Southern High land"

Pia issue ya capacity ya miundombinu ya kubeba form one in the comming years ni ndogo sana. Sijui kama itawezekana. Halafu tatitizo litakuwa endelevu hata kwenda A-level pia vyuo.
Wakati wanasema elimu bure hawakuona matokea ya hilo miaka 6 ijayo...
 
Rais yeye hajui hilo. Yeye kichwani kwake anawaza tu kujenga shule za wasichana na Academy za michezo kila mkoa.

..hoja yako ni nzuri sana.

..lakini maandalizi yalitakiwa yaanze miaka 6 iliyopita, tangu mpango wa "elimu bure" ulipoanza.

..lingine linalopaswa kujadiliwa ni VIWANGO VYA UELEWA vya watoto waliosoma ktk program ya " elimu bure. "
 
Amekuwa muwazi kwamba anamiliki shule inaitwa "Southern High land"

Pia issue ya capacity ya miundombinu ya kubeba form one in the comming years ni ndogo sana. Sijui kama itawezekana. Halafu tatitizo litakuwa endelevu hata kwenda A-level pia vyuo.
Wakubali kushusha ada watapata wateja. Kwa ada zao si rahisi PPP kuwa applicable.
 
MULUGO anashule yake mwenyewe maeneo ya kabwe ukiwa unaelekea teofilo kisanji university..nacheka sana
 
Narudia tena kwa usafiri wa kuunga na gundi ni mateso makubwa kwa watoto. Najua ninachozungumza baada ya kuzungumza na Wannafunzi kuhusu walivyokuwa wakiteseka na usafiri na kusababisha mara nyingi kufika majumbani kwao saa tatu usiku au hata zaidi na wengi kusababisha kuchukia shule.
Serikali huwa inakurupuka na kuja na taratibu za hovyo ambazo hazifanyiwi TATHMINI yoyote ili ili kuona kama ina ufanisi au la.
ilishawahi kufanyika miaka ya nyuma ila itabidi wawekeze kwa walimu
 
Gharama zinajadilika, kwani bima ya afya ikoje? Pia gharama ya kumsomesha mtoto bila ada inajulikana sasa hapo ndipo pa kujadiliana na hawa wamiliki binafsi.

Kwamba serikali iwe tayari kutoa wanafunzi kama rasilimali ambayo wao hawana na wao wakubali kushusha bei ili waache kulia lia kukosa wanafunzi
Hilo jinga halijui lolote utahangaika bure kazi yao kupiga mapambio hata kwenye mambo ya msingi
 
Hao wasichana,ni miongoni mwa hao 1.8,kwa hiyo zikijengwa hizo shule za wasichana,ambao huwenda wakawa 65%,ya wanafunzi wote wa msingi,hapo imeshapunguza idadi ya wanafunzi,ukitoa watakaokwenda ufundi kama ni 15%,ukitoa watakashindwa kuendelea na watakao soma shule binafsi,bado kuna watakaokosa masomo?
Hivi unajua mpaka sasa hivi kuna wanafunzi hawajaanza form one kwa kukosa madarasa ?
 
Yaa hii inawezekana iwe kama wanavyofanya kwenye hospitali teule,Bima ya afya nk serikali inashea na wamiliki binafsi.Pia itasidia kupunguza mzigo kwa serikali kwa sababu wamiliki binafsi wana miundombinu ya kutosha.

Ila tuu wajadiliane gharama za kulipia,mwisho wale ambao watakosa shule za serikali zilizopo na za binafsi ndio watajengewa madarasa mapya.

Hii nchi kasi ya uzazi ni kubwa sana sio mchezo,huko usukumani ndio balaa
Watanzania wanawasikiliza sana viongozi wao wakiambiwa msivae barakoa nakubali,wakiambiwa chanjo za korona ni batili wanakubali,wakiambiwa katiba mpya sio lazima wanakubali,wakiambiwa zaaneni kwa bidii watoto wasasomeshwa wanakubali yaani ni watiifu sana.Kuongoza hii nchi ni rahisi kuliko kuchunga ng'ombe malishoni
 
Back
Top Bottom