breki sifungi
JF-Expert Member
- Oct 15, 2014
- 694
- 409
public private partnershipPpp ndio nini
public private partnershipPpp ndio nini
Wakati wanasema elimu bure hawakuona matokea ya hilo miaka 6 ijayo...Amekuwa muwazi kwamba anamiliki shule inaitwa "Southern High land"
Pia issue ya capacity ya miundombinu ya kubeba form one in the comming years ni ndogo sana. Sijui kama itawezekana. Halafu tatitizo litakuwa endelevu hata kwenda A-level pia vyuo.
Mbona unamkosea heshina Sana our president?Rais yeye hajui hilo. Yeye kichwani kwake anawaza tu kujenga shule za wasichana na Academy za michezo kila mkoa.
private public partnership.....yaani serikali inaingia ubia na wawekezaji na mashirika binafsi kwenye ujenzi kwa makubaliano maalum..Ppp ndio nini
kwani yeye ndio alieleta hiyo program ya Elimu bure?Rais yeye hajui hilo. Yeye kichwani kwake anawaza tu kujenga shule za wasichana na Academy za michezo kila mkoa.
Rais yeye hajui hilo. Yeye kichwani kwake anawaza tu kujenga shule za wasichana na Academy za michezo kila mkoa.
Kweli ila Umewanyanyapaa sana wa vijijini pia ambao ndio % kubwa.Unadhani ni rahisi hili na huo usafiri wa kuunga na gundi?
Wakubali kushusha ada watapata wateja. Kwa ada zao si rahisi PPP kuwa applicable.Amekuwa muwazi kwamba anamiliki shule inaitwa "Southern High land"
Pia issue ya capacity ya miundombinu ya kubeba form one in the comming years ni ndogo sana. Sijui kama itawezekana. Halafu tatitizo litakuwa endelevu hata kwenda A-level pia vyuo.
ilishawahi kufanyika miaka ya nyuma ila itabidi wawekeze kwa walimuUnadhani ni rahisi hili na huo usafiri wa kuunga na gundi?
Public private partnership.Ppp ndio nini
ilishawahi kufanyika miaka ya nyuma ila itabidi wawekeze kwa walimu
Hilo jinga halijui lolote utahangaika bure kazi yao kupiga mapambio hata kwenye mambo ya msingiGharama zinajadilika, kwani bima ya afya ikoje? Pia gharama ya kumsomesha mtoto bila ada inajulikana sasa hapo ndipo pa kujadiliana na hawa wamiliki binafsi.
Kwamba serikali iwe tayari kutoa wanafunzi kama rasilimali ambayo wao hawana na wao wakubali kushusha bei ili waache kulia lia kukosa wanafunzi
Hivi unajua mpaka sasa hivi kuna wanafunzi hawajaanza form one kwa kukosa madarasa ?Hao wasichana,ni miongoni mwa hao 1.8,kwa hiyo zikijengwa hizo shule za wasichana,ambao huwenda wakawa 65%,ya wanafunzi wote wa msingi,hapo imeshapunguza idadi ya wanafunzi,ukitoa watakaokwenda ufundi kama ni 15%,ukitoa watakashindwa kuendelea na watakao soma shule binafsi,bado kuna watakaokosa masomo?
Meko angefukuzaaRais yeye hajui hilo. Yeye kichwani kwake anawaza tu kujenga shule za wasichana na Academy za michezo kila mkoa.
Huyo alikuwa Mungai JosephNi Mulugo huyu huyu aliyeunganisha Physics, Chemistry na Biology kuwa Somo moja?
Watanzania wanawasikiliza sana viongozi wao wakiambiwa msivae barakoa nakubali,wakiambiwa chanjo za korona ni batili wanakubali,wakiambiwa katiba mpya sio lazima wanakubali,wakiambiwa zaaneni kwa bidii watoto wasasomeshwa wanakubali yaani ni watiifu sana.Kuongoza hii nchi ni rahisi kuliko kuchunga ng'ombe malishoniYaa hii inawezekana iwe kama wanavyofanya kwenye hospitali teule,Bima ya afya nk serikali inashea na wamiliki binafsi.Pia itasidia kupunguza mzigo kwa serikali kwa sababu wamiliki binafsi wana miundombinu ya kutosha.
Ila tuu wajadiliane gharama za kulipia,mwisho wale ambao watakosa shule za serikali zilizopo na za binafsi ndio watajengewa madarasa mapya.
Hii nchi kasi ya uzazi ni kubwa sana sio mchezo,huko usukumani ndio balaa
Una hakika na hilo, au wakumbuka ya miaka iliyopita.Hivi unajua mpaka sasa hivi kuna wanafunzi hawajaanza form one kwa kukosa madarasa ?
Public - Private Partnership.Ppp ndio nini