ELNIN0
JF-Expert Member
- Nov 26, 2009
- 4,161
- 1,460
Hosea Kutojiuzuru kama pendelezo la kamati teule ya bunge na kuthubutu kuwahoji wabunge kuhusu posho mbili mbili kipindi hicho hicho- na
Bunge kunyongonyezwa msimamo wake wa richmond - na
Lowasa Kujisafisha na
Rostam Aziz kuonekana hana mkono na ufisadi - na
Sitta kutaka kunyanganywa kadi ya uananchama CCM
Section A.
Je ni aibu ya nani?
a) Bunge
b) Taifa nzima
c) Hosea
d) Rais na serikali yake
e) CCM kwa ujumla
Section B
Mshindi wa sakata la richmond ni :-
a) Serikali
b) Lowassa
c) Rostam
d) Sitta
f) Hosea
Chagua jibu sahihi, tafadhali toa maelezo kujengea hoja jibu lako.
Bunge kunyongonyezwa msimamo wake wa richmond - na
Lowasa Kujisafisha na
Rostam Aziz kuonekana hana mkono na ufisadi - na
Sitta kutaka kunyanganywa kadi ya uananchama CCM
Section A.
Je ni aibu ya nani?
a) Bunge
b) Taifa nzima
c) Hosea
d) Rais na serikali yake
e) CCM kwa ujumla
Section B
Mshindi wa sakata la richmond ni :-
a) Serikali
b) Lowassa
c) Rostam
d) Sitta
f) Hosea
Chagua jibu sahihi, tafadhali toa maelezo kujengea hoja jibu lako.