Multichoice(dstv)

Arselona

JF-Expert Member
Jan 13, 2011
643
153
Habari JF.Baada ya kupitia forums mbalimbali na kuongea na wa2 kadhaa imenishawishi kuandika thread hii.Sasa ninaweza kusema kwamba inawezekana kupata channels za dstv bure.Camini kama hakuna mwana JF yeyote anayenufaika na mpango huo kwa sasa ila inawezekana waka2shirisha nyuma ya screen,lengo c kuhalalisha wizi bali ni kupunguza makali ya maisha.Najua kuna wa2 watakuwa na mtazamo hac dhidi yangu lakini ukweli utabaki pale pale kwamba d**tv wana2nyonya.Ili kufanya setting unahitaji 1.SOFTWARE 2.DONGLE 3.mpeg4 STRONG DECODER 4.Ku DISHIES.Kikwazo hapa ni kupata hiyo software, wenye nazo wanabana.Kwa yeyote mwenye nayo naomba aniPM
 
Habari JF.Baada ya kupitia forums mbalimbali na kuongea na wa2 kadhaa imenishawishi kuandika thread hii.Sasa ninaweza kusema kwamba inawezekana kupata channels za dstv bure.Camini kama hakuna mwana JF yeyote anayenufaika na mpango huo kwa sasa ila inawezekana waka2shirisha nyuma ya screen,lengo c kuhalalisha wizi bali ni kupunguza makali ya maisha.Najua kuna wa2 watakuwa na mtazamo hac dhidi yangu lakini ukweli utabaki pale pale kwamba d**tv wana2nyonya.Ili kufanya setting unahitaji 1.SOFTWARE 2.DONGLE 3.mpeg4 STRONG DECODER 4.Ku DISHIES.Kikwazo hapa ni kupata hiyo software, wenye nazo wanabana.Kwa yeyote mwenye nayo naomba aniPM

Niliposoma nilijua umekuja na suluisho kumbe bao tatizo lipo teh teh teh

Sasa hiyo sofware ni software gani au inaitwaje? ebu tuhabarishe mtaalam labda tunayo lakini hatujui kazi yake. Au waulize hao wanaobana inaitwaje kama wanabana hata jina basi ni wasanii usiwaamini.
 
Niliposoma nilijua umekuja na suluisho kumbe bao tatizo lipo teh teh teh

Sasa hiyo sofware ni software gani au inaitwaje? ebu tuhabarishe mtaalam labda tunayo lakini hatujui kazi yake. Au waulize hao wanaobana inaitwaje kama wanabana hata jina basi ni wasanii usiwaamini.
Amesema kama unaitaka m-pm akupe nyeti. solution anayo
 
Mkuu hakuna anayebana ili njia ya kupata channel za dstv ni ngumu kidogo na inakubidi uwe na decoder maaluma yenye kutumia internet kwa ajili ya update za new codes wanazobadilisha hao dstv kila mara,so unatiwa uwe na internet ya uhakika kidogo kwa kifupi ni kazi.
 
Mkuu hakuna anayebana ili njia ya kupata channel za dstv ni ngumu kidogo na inakubidi uwe na decoder maaluma yenye kutumia internet kwa ajili ya update za new codes wanazobadilisha hao dstv kila mara,so unatiwa uwe na internet ya uhakika kidogo kwa kifupi ni kazi.
<br />
<br />
Hizo decoder zinapatikana Kenya kuna mselaangu anayo full channel zote free ila ni aghali zinauzwa sh elfu35 za kenya sawa na laki nne hivi za kitanzania. Mambo ya kunPM sitaki kwa sababu hao dstv wamekwishaweka watu wao humu kwa ajili ya kuwafatilia wachakachuaji wao kama unahitaji we nenda Kenya utazipata
 
dah hiyo ipo siku nyingi ila hardwate zake ndiyo ghali sana. Ones budget will be not less than 400000tzs teba u dont even need internet just an additional hardware. The down side is when the code is changed it might take up to 5 to 14 days to come back online with a full package. Lastly it not worth it coz u not garanteed that you will have it for the whole month free, secondly, its illigal and you cna be sued,
 
elf 35 kama laki 6 hivi, si bora nieke dstv ndani? Then inaeza kukaa miez 6 dstv wakachange mambo ukaambiwa dikoda hii haifai kuna nyengine ya laki 5 tena
 
Amesema kama unaitaka m-pm akupe nyeti. solution anayo
<br />
<br />

Hivi wewe unasoma kuelewa au? Mbona unamwambia uongo na ukweli upo hapa hapa?

Someni muelewe sio kudakia tu au kusoma juu juu bali mjibu kisicho

Sitaki sema hauelewi yanayoandikwa maana nadhani unaelewa.
 
Habari JF.Baada ya kupitia forums mbalimbali na kuongea na wa2 kadhaa imenishawishi kuandika thread hii.Sasa ninaweza kusema kwamba inawezekana kupata channels za dstv bure.Camini kama hakuna mwana JF yeyote anayenufaika na mpango huo kwa sasa ila inawezekana waka2shirisha nyuma ya screen,lengo c kuhalalisha wizi bali ni kupunguza makali ya maisha.Najua kuna wa2 watakuwa na mtazamo hac dhidi yangu lakini ukweli utabaki pale pale kwamba d**tv wana2nyonya.Ili kufanya setting unahitaji 1.SOFTWARE 2.DONGLE 3.mpeg4 STRONG DECODER 4.Ku DISHIES.Kikwazo hapa ni kupata hiyo software, wenye nazo wanabana.Kwa yeyote mwenye nayo naomba aniPM
<br />
<br />

Mkuu dongle bado nikamali unaweza angalia kwa mdaa tuu sijajuwa wewe kama unaujanja wa kuiwezesha isikatee kwa hiyo software
 
dah hiyo ipo siku nyingi ila hardwate zake ndiyo ghali sana. Ones budget will be not less than 400000tzs teba u dont even need internet just an additional hardware. The down side is when the code is changed it might take up to 5 to 14 days to come back online with a full package. Lastly it not worth it coz u not garanteed that you will have it for the whole month free, secondly, its illigal and you cna be sued,
Mkuu hiyo decoder mimi nimeanza kuitumia tangu nipo ughaibuni nilikuwa na mnigeria mmoja alikuwa ancheza na hizo code hadi nilipokuja nchini nilikuwa naitumia hadi leo bado naitumia kuna sehemu ya kuingia ethernet yani waya wa internet na siku hizi dstv wanachange code kwa masaa sio siku kama zamani mimi nikaona usumbufu nalipa kihalali ingawa inaumiza sana.
 
Mtoa mada tafuta decoder/receiver aina ya TIGER zenji zinapatikana sana, zina USB kwa ajili ya modem na pia zina Ethernet port kwa ajili ya net zitakusaidia kukamata DSTV kwa msaada wa servers utakazozi-feed kwenye downloading. Hii pia inakubali kadi za tofauti inaweza kuwa zaidi ya moja.

Upo hapo?
 
Washikaji w JF hata huku kwetu ilikuwepo moja hilikuwa inapiga sana d***tv lakini one week ilikata zote baadae jamaa wakasema ipo nyingine laki350000,duuu balaatupu nduguzangu
 
Mtoa mada tafuta decoder/receiver aina ya &lt;b&gt;TIGER&lt;/b&gt; zenji zinapatikana sana, zina USB kwa ajili ya modem na pia zina Ethernet port kwa ajili ya net zitakusaidia kukamata DSTV kwa msaada wa servers utakazozi-feed kwenye downloading. Hii pia inakubali kadi za tofauti inaweza kuwa zaidi ya moja.&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
Upo hapo?
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
<br />
Hicho ulicho kiandika TIGER siyoo ataa kamakuna lisiva za kutumia net si hilo jina fatilia vizuli utupe data
 
Back
Top Bottom