Mliowahi kupigana darasani leteni ushuhuda wenu hapa

Kuna jamaa nilikuwa namuonea sana ndio alikuwa fala wangu.

Siku hiyo akaamua kunitest hahahaha.
Maana nilikuwa maneno mengi mikwara kibao huku mweupe kabisa!!

Jamaa aliniotea roba moja halafu madenti wengine wakawa wanashangilia kwamba asiniachie hadi nikojoe!

Kiukweli siku hiyo nilimuona ziraili kbs..
Ilibidi nikojoe tuu maana sio kabali ile.
Hata angetaka ninye ningekunya!!

Hapo heshima ikawepo..
Akaletwa chalii mwingine tena alikuwa na kaumbo kadogo halafu mi bonge la mtu.

Nikaanza bullying kama kawaida.
Yule dogo akatonywa na wambea kwamba mi mweupe mikwara tuu..

Dogo akaniamulia siku hiyo akanishika mapumbuu acha maneno kabisaaa!!
Yaani kumpiga nilishindwa nikabaki nimetulia tuu.mkono mmoja kanibana mapumbuu mwingine ananipiga ngumi na makofi!!
Kalikuwa kafupi yaani kunipiga kofi hadi karuke juu km masai ndo kanipate.hahahaha
Usiombe upigane na kijana muoga! Siku zote huwa shabiki ila ikafika siku namie nikapambanishwa na mnyonge wangu kijana wa mwenye mabasi ya BM Coach yale dogo anaitwa Blasius Makundi!

Hii ilinitokea mzee nilikula gumi la pua nikaanza kuvuja damu nikaamua nitoke dima tu 😅😅😅 nilikuwaga namjambisha tu mikwara mingi ila ngumi sijui aisee nilisepa kesho ikawa gumzo wahuni wote class walinivua vyeo maana nilikuwa cheerleader!
 
Usiombe upigane na kijana muoga! Siku zote huwa shabiki ila ikafika siku namie nikapambanishwa na mnyonge wangu kijana wa mwenye mabasi ya BM Coach yale dogo anaitwa Blasius Makundi!

Hii ilinitokea mzee nilikula gumi la pua nikaanza kuvuja damu nikaamua nitoke dima tu nilikuwaga namjambisha tu mikwara mingi ila ngumi sijui aisee nilisepa kesho ikawa gumzo wahuni wote class walinivua vyeo maana nilikuwa cheerleader!
 
Nilikuwa kachokozi ila nina mbio hatari, hivyo kunikamata unipige utasubiri sana. Nguvu zenyewe za kupigana sina.
Bora ulijiimarisha kwenye riadha maana ungepasuka sana na kidomo domo kile 😅
 
Nakumbuka dogo mmoja niliwahi muoshea mtoto wa kiarabu nilimtia buti la mapumbu akalia sana. Ilikuwa std 3 hio nikawa naheshimika sana toka siku hio 😅😅😅 nikapelekwa staff like a pro kutiwa discpline na wajuba 😅
 
Nakumbuka dogo mmoja niliwahi muoshea mtoto wa kiarabu nilimtia buti la mapumbu akalia sana. Ilikuwa std 3 hio nikawa naheshimika sana toka siku hio nikapelekwa staff like a pro kutiwa discpline na wajuba
Noma sana
 
Nakumbuka kuna chalii mmoja alikuwa mbabe sana kwangu siku hiyo ujasiri ukanijaa amenila hela kwenye kamali ya kichwa mwenge halafu ananicheka c'se ananiweza

Nilisimama kama dk 5 natafakari hela nimeiba home halafu mtu ananila anacheka nikirudi home naenda kuchezea nikasema isiwe kesi nikampa roba ya nikijikologa nimekunya hadi nikasikia anaanza kukoroma nikatuma mkono mfukon nikazoa salary zote nikatimua mbio home wiki bila kwenda shule nazuga naumwa

Kuja kwenda nikabeba maziwa mgando kwenda kumpoza na dharau zikaisha
 
Nakumbuka kuna chalii mmoja alikuwa mbabe sana kwangu siku hiyo ujasiri ukanijaa amenila hela kwenye kamali ya kichwa mwenge halafu ananicheka c'se ananiweza

Nilisimama kama dk 5 natafakari hela nimeiba home halafu mtu ananila anacheka nikirudi home naenda kuchezea nikasema isiwe kesi nikampa roba ya nikijikologa nimekunya hadi nikasikia anaanza kukoroma nikatuma mkono mfukon nikazoa salary zote nikatimua mbio home wiki bila kwenda shule nazuga naumwa

Kuja kwenda nikabeba maziwa mgando kwenda kumpoza na dharau zikaisha
Zawadi hakukataa?
 
Kuna dogo mmoja alikuwa anaitwa Hery barton mjuaji sana nakumbuka alizichapa na mchizi mmoja anaitwa Daniel Msuya! Sikuhio mapema sana kabla ya assembly saa 12 asubuhi.

Aisee zile ngumi zilikuwa level za kimataifa yani! Hamna kushikana hapo ni nako 2 nako yani ikipenya unaskia shavu limeitika fyo.toooh. Pale ndio tulipata taste ya kina Tyson kabisa huku hery barton akila nakoz za kwenda maana Daniel alikua na utulivu sana kwenye kuzipachika.
Hivi Herry bado yupo?!
 
mim nlikua mdau mmja mstaarabu na mpole sana Sasa Kuna siku jamaa zang wawili wakaanz kuzichapa mbele ya darasa mhun nkaona sio Jambo jema nkaenda kuachanish sabab nilikua monitor,

Sas ile kuachanisha tu nkamshika mmja kwaiy jamaa mwngn akapata nafas akampa za uso mwenzak lahaula!!!! baada ya mda mfupi wote wawili wakanivaa mim Dadek wakanipa za kutosha nkatoka nje Kam mshale nkaenda kujipang,

Nilivolud maninaaaa nakumbuka siku ile nilitembeza kipigo kwa wale jamaa wote wawili nilipiga wotee kila wakija wanakutana na za uso ile nd siku yang ya mwsho kuw monitor pia na kuogopwa shule nzima enzi hizo stndrd 6 iyo,

bt toka siku iyo niliowapiga wot tukawa marafiki till nowdays
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom