Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 66,989
- 173,603
Usiombe upigane na kijana muoga! Siku zote huwa shabiki ila ikafika siku namie nikapambanishwa na mnyonge wangu kijana wa mwenye mabasi ya BM Coach yale dogo anaitwa Blasius Makundi!Kuna jamaa nilikuwa namuonea sana ndio alikuwa fala wangu.
Siku hiyo akaamua kunitest hahahaha.
Maana nilikuwa maneno mengi mikwara kibao huku mweupe kabisa!!
Jamaa aliniotea roba moja halafu madenti wengine wakawa wanashangilia kwamba asiniachie hadi nikojoe!
Kiukweli siku hiyo nilimuona ziraili kbs..
Ilibidi nikojoe tuu maana sio kabali ile.
Hata angetaka ninye ningekunya!!
Hapo heshima ikawepo..
Akaletwa chalii mwingine tena alikuwa na kaumbo kadogo halafu mi bonge la mtu.
Nikaanza bullying kama kawaida.
Yule dogo akatonywa na wambea kwamba mi mweupe mikwara tuu..
Dogo akaniamulia siku hiyo akanishika mapumbuu acha maneno kabisaaa!!
Yaani kumpiga nilishindwa nikabaki nimetulia tuu.mkono mmoja kanibana mapumbuu mwingine ananipiga ngumi na makofi!!
Kalikuwa kafupi yaani kunipiga kofi hadi karuke juu km masai ndo kanipate.hahahaha
Hii ilinitokea mzee nilikula gumi la pua nikaanza kuvuja damu nikaamua nitoke dima tu 😅😅😅 nilikuwaga namjambisha tu mikwara mingi ila ngumi sijui aisee nilisepa kesho ikawa gumzo wahuni wote class walinivua vyeo maana nilikuwa cheerleader!