Mliowahi kupigana darasani leteni ushuhuda wenu hapa

Aisee primary nilizichapa na watu wengi mnoo, nakumbuka kuna pambano tulidumu kwa masaa 2 ngoma haijaisha 😀😀. Yaani nilijikutaga napenda sana ngumi sometimes mpaka unatamani uzichape na fulani ila ndo ivo sikua mkorofi, ila ukinigusa tu aisee sijiulizi mara 2 kuingia ulingoni.

Hiyo ni kutoka sijaanza shule mpaka std 6 nikaacha kabisa ugomvi nikawa sharobaro😂😂.
 
Aisee primary nilizichapa na watu wengi mnoo, nakumbuka kuna pambano tulidumu kwa masaa 2 ngoma haijaisha . Yaani nilijikutaga napenda sana ngumi sometimes mpaka unatamani uzichape na fulani ila ndo ivo sikua mkorofi, ila ukinigusa tu aisee sijiulizi mara 2 kuingia ulingoni.

Hiyo ni kutoka sijaanza shule mpaka std 6 nikaacha kabisa ugomvi nikawa sharobaro.

Kwahiyo mkuu usharobaro na ngumi tofauti?
 
Inakuwaje wanangu wa Jamiiforums

Binafsi mimi nilikuwa mpenzi mtazamaji, na Hakuna kitu kilikuwa kinaniuzi kama kuona watu wakizichapa atokee mtu aje kugombolezea

Kwa wale mliowahi kuzichapa class mutuelezee sababu ilikuwa ni ipi, je bifu liliendelea, kama ulichapwa vp kisasi kilitokea

Kwa wale wapenzi watazamaji wenzangu ulikuwa unaenjoy nini wana wakizichapa class?View attachment 1947737
Siku ukija na mada ya kurogana nitag tafadhali
 
kipindi nipo darasa la sita... kwenye kukaa tulikua tunapangwa ile wavulana wawili msichana katikati au wasichana na mvulana ili kuepusha kelele. Bhas bwana siku ya ijumaa kama kawaida vipind vichache na unakuta kila mtu karudi kukaa na shosti yake. .
nilipokua nakaa mimi wasichana walikua wawili na mvulana mmoja, sasa tulishajikusanya kupiga umbea mashosti ka ilivyo ada.. Eeee ghafla bin vuu jamaa katoka alipotoka kaja kukaa sasa dawati linabeba watatu yeye wanne kaja jiongeza Aaa tukaona mazinguz tukawa tunamsukuma,sasa si akaanguka na mimi ndio nilikua pembeni yake so alipoibuka na hasira akanivaa mimi tukanza ugomvi jamaa alinibutua mateke ya tumbo..
dah nikainama kusikilizia maumivu uku darasa zima linamwambia umeuaa!! umeuaaa!! aseh kuskia vile nilishikwa na hasira nilimuibukia jamaa na mangumi aliyoshindwa zuia adi tulipokuja amuliwa alishageuka nyanya maana alikua mweupe kukaa kidogo kengele nayo iyoo mda wa usafi...
haha iyo siku ndiyo ilikua mara yangu ya kwanza kupigana skuli
 
kipindi nipo darasa la sita... kwenye kukaa tulikua tunapangwa ile wavulana wawili msichana katikati au wasichana na mvulana ili kuepusha kelele. Bhas bwana siku ya ijumaa kama kawaida vipind vichache na unakuta kila mtu karudi kukaa na shosti yake. .
nilipokua nakaa mimi wasichana walikua wawili na mvulana mmoja, sasa tulishajikusanya kupiga umbea mashosti ka ilivyo ada.. Eeee ghafla bin vuu jamaa katoka alipotoka kaja kukaa sasa dawati linabeba watatu yeye wanne kaja jiongeza Aaa tukaona mazinguz tukawa tunamsukuma,sasa si akaanguka na mimi ndio nilikua pembeni yake so alipoibuka na hasira akanivaa mimi tukanza ugomvi jamaa alinibutua mateke ya tumbo..
dah nikainama kusikilizia maumivu uku darasa zima linamwambia umeuaa!! umeuaaa!! aseh kuskia vile nilishikwa na hasira nilimuibukia jamaa na mangumi aliyoshindwa zuia adi tulipokuja amuliwa alishageuka nyanya maana alikua mweupe kukaa kidogo kengele nayo iyoo mda wa usafi...
haha iyo siku ndiyo ilikua mara yangu ya kwanza kupigana skuli
Pole pia hongera, mechi yako ya kwanza ukaibuka na ushindi
 
Balaa aisee.. tulikua tunacheza mchezo wa kupiga visoda darasani.. nlikua najifanya mjanja mjanja nkaficha visoda vingine.. alikuja dogo mmoja hivi mgupi alinipiga ngumi moja nzito.. nakumbuka nili shout “ kanipiga na jiweeee” ile kugeuka hivi tuanze kuzichapa nakuta dogo keshakimbia zamaniii...
 
Balaa aisee.. tulikua tunacheza mchezo wa kupiga visoda darasani.. nlikua najifanya mjanja mjanja nkaficha visoda vingine.. alikuja dogo mmoja hivi mgupi alinipiga ngumi moja nzito.. nakumbuka nili shout “ kanipiga na jiweeee” ile kugeuka hivi tuanze kuzichapa nakuta dogo keshakimbia zamaniii...

Vp mkuu, hukumtafuta?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom