MrConveter
JF-Expert Member
- Jul 4, 2017
- 1,289
- 2,348
Mkuu alikubana kila idara
Alitawala sana,
Miaka ile wanafunzi wengi walikuwa na maumbo makubwa tofauti na kipindi hiki, in short alikuwa ni kipande cha mtu.
Mkuu alikubana kila idara
School moments ni zaid ya muvi
😅😅shukranPole pia hongera, mechi yako ya kwanza ukaibuka na ushindi
Ahahahahaha ukapewa cheo cha Gaidi kama Hamza au haramia?😄😄😄 Lkn nlivuliwa umonitor kw kichapo kikali kw staff nzim na kuzungushw kila darasa na kutangazw assemble
Hilo pambano gani la masaa mawili aisee au mlikuwa mnakabana sana 😅! Nakozi za maana haziwezi kumaliza dakika 40 lazma mmoja aombe yaishe.Aisee primary nilizichapa na watu wengi mnoo, nakumbuka kuna pambano tulidumu kwa masaa 2 ngoma haijaisha 😀😀. Yaani nilijikutaga napenda sana ngumi sometimes mpaka unatamani uzichape na fulani ila ndo ivo sikua mkorofi, ila ukinigusa tu aisee sijiulizi mara 2 kuingia ulingoni.
Hiyo ni kutoka sijaanza shule mpaka std 6 nikaacha kabisa ugomvi nikawa sharobaro😂😂.
Umenikumbusha kuna masela walikamatwa wanapigana na ticha darasani, akawaita mbele pale pale darasani wazipige nakozi kavu kavu halafu yeye ndio kama refa, ilikuwa kama dakika 5 msela alizidiwa akaanza kulia maana zilikuwa zinapigwa unasikia sauti kama muvi za wachina kila mtu yupo kimya hamna kupiga kelele unajua kabisa hiyo imengia vilivyo usoni, ticha akamwambia mshindi aende akakae halafu yule aliyepigwa akamcharaza viboko 🤣Hilo pambano gani la masaa mawili aisee au mlikuwa mnakabana sana 😅! Nakozi za maana haziwezi kumaliza dakika 40 lazma mmoja aombe yaishe.
Hahahahahah ticha alikuwa muhuni sana huyo! Hilo pambano lilikuwa rasmi kabisa bila kiingilio 😅! Hahahah ningeinjoy sana yani.Umenikumbusha kuna masela walikamatwa wanapigana na ticha darasani, akawaita mbele pale pale darasani wazipige nakozi kavu kavu halafu yeye ndio kama refa, ilikuwa kama dakika 5 msela alizidiwa akaanza kulia maana zilikuwa zinapigwa unasikia sauti kama muvi za wachina kila mtu yupo kimya hamna kupiga kelele unajua kabisa hiyo imengia vilivyo usoni, ticha akamwambia mshindi aende akakae halafu yule aliyepigwa akamcharaza viboko 🤣
Kuna dogo mmoja alikuwa anaitwa Hery barton mjuaji sana nakumbuka alizichapa na mchizi mmoja anaitwa Daniel Msuya! Sikuhio mapema sana kabla ya assembly saa 12 asubuhi.Umenikumbusha kuna masela walikamatwa wanapigana na ticha darasani, akawaita mbele pale pale darasani wazipige nakozi kavu kavu halafu yeye ndio kama refa, ilikuwa kama dakika 5 msela alizidiwa akaanza kulia maana zilikuwa zinapigwa unasikia sauti kama muvi za wachina kila mtu yupo kimya hamna kupiga kelele unajua kabisa hiyo imengia vilivyo usoni, ticha akamwambia mshindi aende akakae halafu yule aliyepigwa akamcharaza viboko 🤣
Ticha alitumia ubunifu wa hali ya juu 🤣Hahahahahah ticha alikuwa muhuni sana huyo! Hilo pambano lilikuwa rasmi kabisa bila kiingilio 😅! Hahahah ningeinjoy sana yani.
Raha ya ngumi aisee ziwe ni nakoz wakishaanza kukabana inakuwa haina ladha tena, atakayebahatisha kumkaba mwenzake vilivyo basi ndio anakuwa mshindi ili zikirushwa kwa mpangilio aisee ni zaidi ya muvi na anayeshinda anaheshimika zaidi 🤣Kuna dogo mmoja alikuwa anaitwa Hery barton mjuaji sana nakumbuka alizichapa na mchizi mmoja anaitwa Daniel Msuya! Sikuhio mapema sana kabla ya assembly saa 12 asubuhi.
Aisee zile ngumi zilikuwa level za kimataifa yani! Hamna kushikana hapo ni nako 2 nako yani ikipenya unaskia shavu limeitika fyo.toooh. Pale ndio tulipata taste ya kina Tyson kabisa huku hery barton akila nakoz za kwenda maana Daniel alikua na utulivu sana kwenye kuzipachika.
Mda huu tulikuwa tunauita “after bell rings” yani baada ya kengele ya mwisho ya kutoka shule wahuni wanajimwaga golf club kufundishana heshima na adabu!Shule zetu za vidumu na mfagio mambo haya ya ngumi yalikuwa Kawaida sana kutokea.
Nimeshuhudia mechi nyingi sana za ngumi,mechi inaandaliwa mapema,njiani wakati wa kurudi ndio muda wenyewe.
Mimi nilikuwa si mtu wa vurugu japo nishawahi piga mtu katika harakati za kujinasua,,alinivamia anipige kwa chuki zake tu..
Nikamtandika.
Mzee kimya kilitawala na mashabiki hatukuwa wengi sababu ilikuwa asubuhi ile tuliowahi tu ndio tulishuhudia kichapo kile kwenye quality ya 4K yani kimya vinasikika vitasa tu pwaaah!Raha ya ngumi aisee ziwe ni nakoz wakishaanza kukabana inakuwa haina ladha tena, atakayebahatisha kumkaba mwenzake vilivyo basi ndio anakuwa mshindi ili zikirushwa kwa mpangilio aisee ni zaidi ya muvi na anayeshinda anaheshimika zaidi 🤣
Eti jezi ya SimbaMda huu tulikuwa tunauita “after bell rings” yani baada ya kengele ya mwisho ya kutoka shule wahuni wanajimwaga golf club kufundishana heshima na adabu!
Nakumbuka kuna mtoto mmoja wa kihindi anaitwa Huzeifa bonge hivi alijimix kwa mtoto wa kiluguru Ramadhani hussen amevimbia chini kama twaha kiduku! Asee alichofanywa yule ponjoro ilikuwa ni bad news aliondoka kaoteshwa vinundu kaiva kama jezi ya simba
Kama hujawahi kupigana class basi wew ukapimwe akiliInakuwaje wanangu wa Jamiiforums
Binafsi mimi nilikuwa mpenzi mtazamaji, na Hakuna kitu kilikuwa kinaniuzi kama kuona watu wakizichapa atokee mtu aje kugombolezea
Kwa wale mliowahi kuzichapa class mutuelezee sababu ilikuwa ni ipi, je bifu liliendelea, kama ulichapwa vp kisasi kilitokea
Kwa wale wapenzi watazamaji wenzangu ulikuwa unaenjoy nini wana wakizichapa class?View attachment 1947737