prof mukandala ni vyema utupe mikakati yake kuwa unataka kufanya nin wewe ukiwa kama VC ..kwahiyo achana na malalamiko na jaribu kutafuta ufumbuzi..elimu inaelekea pabaya zaidi ya ubaya tulioufikia.
ila kiukweli walimu wa UDSM wana njaa sana kutwa kuzunguka vyuo baada ya vyuo kusaka part-time, wanafunzi pale UDSM wanaishia kuandaa vibomu vya kuzama navyo kwenye mitihani
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.