Muiran awa maarufu kwa kufanana na Lionel Messi

Mtambuzi

Platinum Member
Oct 29, 2008
8,810
15,393
upload_2017-5-9_11-59-44.png


upload_2017-5-9_12-0-36.png




upload_2017-5-9_12-0-56.png



upload_2017-5-9_12-7-2.png



upload_2017-5-9_12-7-12.png






Mwanafunzi mmoja nchini Iran, Reza Parastesh, alijikuta akiwa mikononi mwa polisi mwishoni mwa Juma lililopita kwa sababu ya kufanana sana na mchezaji Lionel Messi. Tukio hili lilitokea baada ya msongamano wa watu kutaka kupiga naye picha na hivyo kutishia amani na utulivu hivyo Polisi kulazimika kumhifadhi ndani kwa muda kuepusha dhahama.
 
Sasa kinawafurahisha nini kupiga picha ni mtu fake huku ukijua origina iliko
 
Back
Top Bottom