elmagnifico
JF-Expert Member
- Jul 7, 2011
- 8,260
- 9,704
To me only God is the Great au mnasemaje wadau?
Ngoja nikwambie maana ya the great ili na wengine wapate kujua kuptia kwako. Ukiona mtu kwenye jina lake kaweka the great ina maana jina analotumia lilikuwa la babu yake yani kapewa jina la babu yake ndo maana yake kwa kingereza si hivyo unavyo waza wewe.
Na tulisikia baba yake akisema kanumba karithi jina la babu yake.
Mfano kuna alexender the great alirithi jina toka kwa babu yake pia.