Muigizaji wa Filamu ya Star Wars, 'Princess Leia' afariki dunia

afrodenzi

Platinum Member
Nov 1, 2010
18,145
9,206
1482871312748.jpg


Kwa wale wapenzi wa Star Wars tunahuzunika kwa kifo Cha Princess Leia (jina lake kamili Carrie Fisher).

Amefariki akiwa na umri wa miaka 60.

May the force be with you Princess Leia R.I.P
 
Alipata heart attack ndani ya ndege akisafiri kutoka London kwenda Los Angeles. Pamoja na kuwahi hospitali lakini hawakufanikiwa kuokoa maisha yake. RIP and thanks for the memories.

1482871312748.jpg


Kwa wale wapenzi wa Star Wars tunahuzunika kwa kifo Cha Princess Leia (jina lake kamili Carrie Fisher).

Amefariki akiwa na umri wa miaka 60.

May the force be with you Princess Leia R.I.P
 
Back
Top Bottom