BUMIJA
JF-Expert Member
- Oct 19, 2011
- 5,818
- 11,001
Katika mahafali ya4 hapa Mkwawa iliyofanyika jmosi::::Naibu waziri wa Elimu katoa tamko kua wahitimu wa shahada ya Elimu wote watapangwa vijijini,na mikoa yetu ileeeeee......Hakuna Mwalimu atakayepangwa mjini::::::Wote mnaonitazama mnaenda kijijini::::Lol