ThinkPad
JF-Expert Member
- Apr 11, 2008
- 1,844
- 232
MHUDUMU wa msikiti wa Babati Mjini, Athumani Mdoe Sogora, 30, amefikishwa mahakamani kwa tuhuma za kumlawiti mtoto wa kiume mwenye umri wa miaka tisa akiwa ndani ya nyumba hiyo ya ibada mkoani Manyara.
Tukio hilo la linadaiwa kutendwa na mtuhumiwa Novemba 6 mwaka huu majira ya saa 4:00 wakati Sogora alipomlawiti kijana huyo ambaye ni mwanafunzi wa darasa la nne Shule ya Msingi Bonga.
Kwa mujibu wa taarifa ya polisi kwa vyombo vya habari iliyosainiwa na kaimu kamanda wa polisi mkoa wa Manyara, Parmena Sumary kwa niaba ya Kamanda Luther Mbutu, baada ya sala ya jioni, mtoto huyo alikuwa amelala msikitini.
Taarifa inaeleza kwamba mtoto huyo alilala msikitini baada ya kutoroka nyumbani kwao kijiji cha Bonga na ndipo saa 04:00 mhudumu huyo alimlawiti na mtuhumiwa amekamatwa na alifikishwa mahakamani Jumanne ya Novemba 11.
Jamani tumlejee Mungu ali imekuwa mbaya mno
Tukio hilo la linadaiwa kutendwa na mtuhumiwa Novemba 6 mwaka huu majira ya saa 4:00 wakati Sogora alipomlawiti kijana huyo ambaye ni mwanafunzi wa darasa la nne Shule ya Msingi Bonga.
Kwa mujibu wa taarifa ya polisi kwa vyombo vya habari iliyosainiwa na kaimu kamanda wa polisi mkoa wa Manyara, Parmena Sumary kwa niaba ya Kamanda Luther Mbutu, baada ya sala ya jioni, mtoto huyo alikuwa amelala msikitini.
Taarifa inaeleza kwamba mtoto huyo alilala msikitini baada ya kutoroka nyumbani kwao kijiji cha Bonga na ndipo saa 04:00 mhudumu huyo alimlawiti na mtuhumiwa amekamatwa na alifikishwa mahakamani Jumanne ya Novemba 11.
Jamani tumlejee Mungu ali imekuwa mbaya mno