muhudumu wa lodge anahitajika
nafasi ni reception.
atakuwa analala hapo hapo lodge na kula hapohapo
wa kutoka mikoani maana wa hapa dar es salaam ruhusa ni nyingi hatutaki.
mshahara ni sh. 100,000 kwa mwezi.
jinsi ya kuapply tuma picha yako ukiwa unaonekana mwili mzima kwenye MP yangu na namba yako ya simu tutakupigia tukikuchagua
nafasi ni reception.
atakuwa analala hapo hapo lodge na kula hapohapo
wa kutoka mikoani maana wa hapa dar es salaam ruhusa ni nyingi hatutaki.
mshahara ni sh. 100,000 kwa mwezi.
jinsi ya kuapply tuma picha yako ukiwa unaonekana mwili mzima kwenye MP yangu na namba yako ya simu tutakupigia tukikuchagua