Chukwu emeka
JF-Expert Member
- Jan 12, 2018
- 23,404
- 36,543
🤣🤣🤣Dunia ina maajabu kwa kweli kilicho nisikitisha ni hao wavulana kuchukua picha ya huyo Mtuhumiwa hivi unawezaje kukaa na picha ya Mwanaume mwenzio akiwa uchi kwenye simu.
Hahahaha jaman kwakwel inasikitisha🤣🤣🤣Dunia ina maajabu kwa kweli kilicho nisikitisha ni hao wavulana kuchukua picha ya huyo Mtuhumiwa hivi unawezaje kukaa na picha ya Mwanaume mwenzio akiwa uchi kwenye simu.
😁😁😁😁😁ingetokea amemponya mtu mwenye ugonjwa wa ukimwi akiwa hivyo hivyo uchi asingekamatwa bali angeongezewa ulinzi maradufu
Sent using unknown device
Njoo pm ujiandikishe😁😁😁😁 mimi Ndiyo Baba mchungaji
Tumechoka nazamabeberu😱Labda ndo dini yetu Waafrika?maana kelele zimekuwa nyingi sana kuhusu hizi dini zinazodaiwa tuliletewa ili tuibiwe!
Jamaa ameamua aitangaze dini yake na hivi Waafrika tunaambiwa hatukuzijua nguo mpaka walipokuja beberu'z akili yangu inanituma jamaa yupo sawa kuhubiri akiwa uchi kama ilivyokuwa enzi za mababu zetu hivyo shime Waafrika wenzangu tunaozikataa dini za kuletewa tutembee na jamaa hii ndo ilikuwa dini yetu.
Sent from my Redmi Note 5 using Tapatalk
Wewe ndio huyo aliyeko uchi?Njoo pm ujiandikishe mimi Ndiyo Baba mchungaji
Hapana mkuu, wangesema ni mchawiingetokea amemponya mtu mwenye ugonjwa wa ukimwi akiwa hivyo hivyo uchi asingekamatwa bali angeongezewa ulinzi maradufu
Sent using unknown device
Ni katika sayari ya Mars kaka
Mbona wachawi wapo wengi tu nao wanakufa kwa ngomaHapana mkuu, wangesema ni mchawi