Mwanamageuko
JF-Expert Member
- Oct 31, 2010
- 8,602
- 5,569
Bado Shilonde, Kachinja Kopa, Bananga Zongo, Nasimbu Buduli, Hali Kipa, Mjicho Mpoko nk...Dah!..sielewi kabisa
Tutarajie aina flani ya bunge very amazing. Hakika tutainjoi sana
Bado Shilonde, Kachinja Kopa, Bananga Zongo, Nasimbu Buduli, Hali Kipa, Mjicho Mpoko nk...Dah!..sielewi kabisa
Watu wamemzoea kama Dr. Chain, CCM wakimpitisha inabidi atumie jina hilohilo Dr. Chain!!!
Hivi wewe upo sawa kiakili? Unadhani Ccm ni chama cha kipuuzi kama Chadema. Hao wanachangia chama tu lakini wagombea makini na waadilifu ndio watapitishwa.Usije kushangaa Mpoki akawa waziri wa michezo uchekeshaji na movie Naibu waziri Dr cheni
Ukimaanisha mpoki hana akili timamu hivyo katiba haimruhusu?Usije kushangaa Mpoki akawa waziri wa michezo uchekeshaji na movie Naibu waziri Dr cheni
Unawaonea wivu cdm kwakua wapo strong and well organized kuliko ccm hili lipo wazi ndio maana mwamua kuwauaHivi wewe upo sawa kiakili? Unadhani Ccm ni chama cha kipuuzi kama Chadema. Hao wanachangia chama tu lakini wagombea makini na waadilifu ndio watapitishwa.
Why all this!?...Inaanza kuwa embarrassing ata kama katiba inaruhusu lakini kinachoendelea nchini Kwa SASA ni uwendawazimu.Muigizaji Mkongwe na Muigizaji maarufu amechukua fomu ya kuwania Ubunge katika Jimbo la Ilala kupitia Chama cha Mapinduzi.