Muhongo kamzidi 'ujanja' Magufuli?

The Boss

JF-Expert Member
Aug 18, 2009
49,110
115,873
Wanaokumbuka hadithi za utotoni...wanakumbuka hadithi ya kuwa paka ana roho saba na kwa kuwa ana roho saba basi ukijaribu kumuua unashangaa anaibuka tena akiwa hai..

Unaweza mlinganisha Waziri Muhongo na hadithi za paka wenye roho saba...

Kila ikitokea scandal ya kutosha kumtimua Waziri Muhongo..'upepo' unabadilika 'anabaki ana dunda tu'

Kwanza kuna scandal maarufu ya Escrow...licha ya kuwa imerudi tena na tunatakiwa kulipa tena mabilioni..Waziri Muhongo utasema sio yeye
alieishupalia huko nyuma kuwa yale mabilioni ni halali kuyalipa

Scandal ya Flow meter bandarini....baada ya waziri mkuu kuvamia bandarini akatajiwa ni waziri gani alihusika na suala zima la scandal hiyo ya flow meter.. 'upepo' ukapita....Waziri Muhongo ana dunda...

Likaja la Dangote ...na uzushi kuwa anataka gesi bure....na kauli za kushangaza na kitendo cha Waziri Muhongo kuwa bega kwa bega na washindani wa Dangote na kutokea sintofahamu za kila aina..hadi Dangote alipoenda Ikulu
ndo 'yakaisha'...still Muhongo ..;ana dunda tu'

Ndo likaja hili la 'kupandisha bei ya umeme'...ambalo ushahidi uko wazi wizara
ilikuwa inajua 'mchakato wote toka february 2016...hadi juzi... na hata sababu za Tanesco kupandisha bei....ikiwemo ya Tanesco
kuingiliwa maamuzi na kulazimishwa kupunguza bei na kuondoa 'service charge' maamuzi ya kisiasa ambayo source ni waziri Muhongo....

Sasa badala ya Magufuli kumtimua waziri Muhongo kwa kusababisha hiyo mess Magufuli anakuja kumtimua Mramba ambae maamuzi mengi kama sio yote yalianzia kwa 'orders' za waziri Muhongo.......

Muhongo huyu huyu ambae kila mara anaongea kwa uwazi kabisa kuwa Tanesco iache kuzalisha....iwe inanuanua umeme kwa asilimia 100 wakati anajua kuwa Tanesco inanunua kwa bei ya juu kuliko inavyouza kwa umeme huo ambao inanunua ambao bado ni aslimia chini ya 50
sasa je iwapo itanunua kwa asilimia 100... watapataje faida? kama asilimia chini ya 50 tu wanategemea ruzuku serikalini?

Huyo ndo Muhongo.....ije mvua lije jua....Magufuli anamuamini na kumsikiliza na hata kumpongeza kwa maamuzi yake yanayoleta 'utata' kila sehemu
kuanzia kwenye gesi,umeme,vitalu vya gesi,madini na kila anachokigusa..

Kweli hadithi za utotoni za paka kuwa na roho saba...hazikuwa burudani tu ya kufurahisha
genge......

Gazeti Mwananchi: Prof. Muhongo alivyoshiriki upandishaji wa bei ya umeme
 
Wanaokumbuka hadithi za utotoni...wanakumbuka hadithi ya kuwa paka ana roho saba
na kwa kuwa ana roho saba basi ukijaribu kumuua unashangaa anaibuka tena akiwa hai..

Unaweza mlinganisha Waziri Muhongo na hadithi za paka wenye roho saba...

Kila ikitokea scandal ya kutosha kumtimua Waziri Muhongo..'upepo' unabadilika
'anabaki ana dunda tu'


Kwanza kuna scandal maarufu ya Escrow...licha ya kuwa imerudi tena
na tunatakiwa kulipa tena mabilioni..Waziri Muhongo utasema sio yeye
alieishupalia huko nyuma kuwa yale mabilioni ni halali kuyalipa

Scandal ya Flow meter bandarini....baada ya waziri mkuu kuvamia bandarini
akatajiwa ni waziri gani alihusika na suala zima la scandal hiyo ya flow meter..
'upepo' ukapita....Waziri Muhongo ana dunda...

Likaja la Dangote ...na uzushi kuwa anataka gesi bure....na kauli za kushangaza
na kitendo cha Waziri Muhongo kuwa bega kwa bega na washindani wa Dangote
na kutokea sintofahamu za kila aina..hadi Dangote alipoenda Ikulu
ndo 'yakaisha'...still Muhongo ..;ana dunda tu'

Ndo likaja hili la 'kupandisha bei ya umeme'...ambalo ushahidi uko wazi wizara
ilikuwa inajua 'mchakato wote toka february 2016...hadi juzi...
na hata sababu za Tanesco kupandisha bei....ikiwemo ya Tanesco
kuingiliwa maamuzi na kulazimishwa kupunguza bei na kuondoa 'service charge'
maamuzi ya kisiasa ambayo source ni waziri Muhongo....

Sasa badala ya Magufuli kumtimua waziri Muhongo kwa kusababisha hiyo mess
Magufuli anakuja kumtimua Mramba ambae maamuzi mengi kama sio yote
yalianzia kwa 'orders' za waziri Muhongo.......

Muhongo huyu huyu ambae kila mara anaongea kwa uwazi kabisa kuwa
Tanesco iache kuzalisha....iwe inanuanua umeme kwa asilimia 100
wakati anajua kuwa Tanesco inanunua kwa bei ya juu kuliko inavyouza
kwa umeme huo ambao inanunua ambao bado ni aslimia chini ya 50
sasa je iwapo itanunua kwa asilimia 100...watapataje faida?
kama asilimia chini ya 50 tu wanategemea ruzuku serikalini?

Huyo ndo Muhongo.....ije mvua lije jua....Magufuli anamuamini na kumsikiliza
na hata kumpongeza kwa maamuzi yake yanayoleta 'utata' kila sehemu
kuanzia kwenye gesi,umeme,vitalu vya gesi,madini na kila anachokigusa..

Kweli hadithi za utotoni za paka kuwa na roho saba...hazikuwa burudani tu ya kufurahisha
genge......
Kama kawaida yenu mmeshaanza. Nigeshangaa sana usingesema lolote Wala chochote
 
prof mhonga ni jembee.. hata mimi nikiambiwa niwape ranking mawaziri no 1 ni muhongo...

huyu baba anajua vitu ile deeep.. shule yake sio ya janja janja

tanesco management ina wajanja wajanja wengi sana...

japo mramba simjui performance yake.. ila Tanesco haijawai perform miaka yote.. so najua hajaonewa tu.. ni wale wale

hata ingekuwa mimi rais shirika la kuanza nalo lilikuwa tanesco... ningetimua hadi mfagiaji.. hakuna ambaye angebaki..

mtu wateja wote wako.. huna mshindani na bado unapata hasara.. kina voda na tigo wanagombea wateja ila wanapata faida... tanesco inalelewa sana

Hakuna waziri namwelewa kama Prof. Muhongo. Kwangu ni waziri smart sana.
 
2e673af9708bf7cf1e7cf69cd32ce3ac.jpg
 
prof mhonga ni jembee.. hata mimi nikiambiwa niwape ranking mawaziri no 1 ni muhongo...

huyu baba anajua vitu ile deeep.. shule yake sio ya janja janja

tanesco management ina wajanja wajanja wengi sana...

japo mramba simjui performance yake.. ila Tanesco haijawai perform miaka yote.. so najua hajaonewa tu.. ni wale wale

Wewe hujui a thing kuhusu management
sio kazi ya waziri kutoa orders kwa taasisi za chini yake
na hasa hizo orders zinapokuwa zina back fire ...
Muhongo ni msanii tu.....anaejua kuwachota akili watu wenye uelewa mdogo
 
kaka naweza nisijue. ila nimefanya pwc... management ya tanesco ni mbovuuu miaka na miaka kila mtu alikuwa analiongelea hilo

sitaki kuamini workmates wote walikuwa vilaza na gpa zao na exposure zao


Wewe hujui a thing kuhusu management
sio kazi ya waziri kutoa orders kwa taasisi za chini yake
na hasa hizo orders zinapokuwa zina back fire ...
Muhongo ni msanii tu.....anaejua kuwachota akili watu wenye uelewa mdogo
 
kaka naweza nisijue. ila nimefanya pwc... management ya tanesco ni mbovuuu miaka na miaka kila mtu alikuwa analiongelea hilo

Managemeny ya Tanesco haijawahi kuwa independent
kila wanachoamua kinapata go ahead kutoka wizarani
sasa utailaumu vipi management halafu uisifie wizara?
we unaonekana mtupu kabisa unaongea mifano puumba kabisa

Na doubt uwezo wako hata wa hesabu sababu mifano yako mingi ni kichekesho
unazungumzia wafanyakazi kupewa unit 700
hivi unajua umeme wote wanaopewa wafanyakazi ni asili 0.02 ya umeme wanao uza?
sasa utasemaje shirika linapata hasara kwa wafanyakazi kutumia asilimia 0.02 ya sales?
na Vodacom nayo inapata hasara kwa wafanyakazi kupewa airtimer?
Daily News wanapata hasara kwa wafanyakazi kupewa magazeti bure?


hebu acha kujiumbua mkuu
 
Nilikua na Boss wangu wa Kinaijeria! Jamaa ni msanii kama Muhongo, yaani kukugeuzia kesi kwake ni jambo LA kawaida sana sana. Anakuruka mita mia moja kidogo yaani hata hakubali kabisa, siku moja nikamuonyesha na ushahidi wa E-mail niliyomtumia ambayo hakuifanyia kazi! Alichonijibu ni kwamba nilitakiwa nikamkumbushe! Dah kwahio zigo likanidondokea Mimi!!!
 
vodacom haitoi vocha kwa staff wake wote..

wanaopewa vocha vodacom ni wale wa position ambazo hata wangekuwa tanesco wangepewa vocha.. hiii ni fact no 1.

pili tanesco inajiendesha kwa hasara... naomba
unitajie shirika au kampuni yeyote inayotoa huduma bure kwa staff wake kipindi ambapo inapata hasara..

nataka tujenge hoja kwa facts..


je voda inatoa vocha kwa staffs wake wote kisa ni wafanyakazi wa voda au wanapewa vocha wale tu wenye majukumu yanayohitaji kuwekewa vocha???
naomba ulijibu hili swali usikimbie wala kupiga chenga chenga

uje na facts voda nani anapewa vocha nami nije na facts za tanesco..

Managemeny ya Tanesco haijawahi kuwa independent
kila wanachoamua kinapata go ahead kutoka wizarani
sasa utailaumu vipi management halafu uisifie wizara?
we unaonekana mtupu kabisa unaongea mifano puumba kabisa

Na doubt uwezo wako hata wa hesabu sababu mifano yako mingi ni kichekesho
unazungumzia wafanyakazi kupewa unit 700
hivi unajua umeme wote wanaopewa wafanyakazi ni asili 0.02 ya umeme wanao uza?
sasa utasemaje shirika linapata hasara kwa wafanyakazi kutumia asilimia 0.02 ya sales?
na Vodacom nayo inapata hasara kwa wafanyakazi kupewa airtimer?
Daily News wanapata hasara kwa wafanyakazi kupewa magazeti bure?


hebu acha kujiumbua mkuu
Managemeny ya Tanesco haijawahi kuwa independent
kila wanachoamua kinapata go ahead kutoka wizarani
sasa utailaumu vipi management halafu uisifie wizara?
we unaonekana mtupu kabisa unaongea mifano puumba kabisa

Na doubt uwezo wako hata wa hesabu sababu mifano yako mingi ni kichekesho
unazungumzia wafanyakazi kupewa unit 700
hivi unajua umeme wote wanaopewa wafanyakazi ni asili 0.02 ya umeme wanao uza?
sasa utasemaje shirika linapata hasara kwa wafanyakazi kutumia asilimia 0.02 ya sales?
na Vodacom nayo inapata hasara kwa wafanyakazi kupewa airtimer?
Daily News wanapata hasara kwa wafanyakazi kupewa magazeti bure?


hebu acha kujiumbua mkuu
 
vodacom haitoi vocha kwa staff wake wote..

wanaopewa vocha vodacom ni wale wa position ambazo hata wangekuwa tanesco wangepewa vocha.. hiii ni fact no 1.

pili tanesco inajiendesha kwa hasara... naomba
unitajie shirika au kampuni yeyote inayotoa huduma bure kwa staff wake kipindi ambapo inapata hasara..

nataka tujenge hoja kwa facts..


je voda inatoa vocha kwa staffs wake wote kisa ni wafanyakazi wa voda au wanapewa vocha wale tu wenye majukumu yanayohitaji kuwekewa vocha???

uje na facts voda nani anapewa vocha nami nije na facts za tanesco..


Mkuu kumbe wewe ni mtupu kabisa?
Nimekutajia Vodacom kama mfano mmoja tu
mifano ipo tele
mashirika yote ya ndege ya ndani na nje yanatoa free tickets kwa staffs
hata mashirika yanayopata hasara kama Kenya Airways na South African airways
nimekupa mfano wa Daily News....
mifano ipo dunia nzima
hakuna shirika hata moja duniani ambalo halina 'staff rates'
NMB tu staffs wakipewa mikopo ..riba ni nusu ya rates ya kawaida..

Hakuna shirika linaloumia eti kwa kutoa staff rates
ndo maana nimekupa percentage ya wafanyakazi kwenye sales...
hawatumii hata asilimia moja ya sales...

Usiwe unaongea vitu huvijui...unajivua nguo..

Unmsifia Muhongo kwa kipi?unaweza taja uamuzi mmoja wa maana wa Muhongo?
 
Back
Top Bottom