Wakuu,
Nimepata ajira kwa muhindi tena nafasi nzuri tu kwenye kampuni kubwa, ila nikamwambia naomba advance hata ya elfu 50 kwaajili ya nauli na lunch, kawaka vibaya anasema hatoi hata 100! Nimecheki na staff wengine kwamba jamani eeh, nikicalculate usafiri na lunch hadi tarehe 15 mwezi huu napata kama elfu 50, mtu anikopeshe then ntampa 60 au 70, kila mtu kilio. Wadau nifanyeje maana hapa ninapoandika sina hata 100 na jumatatu niwe kazini kama kawaida!
Nimepata ajira kwa muhindi tena nafasi nzuri tu kwenye kampuni kubwa, ila nikamwambia naomba advance hata ya elfu 50 kwaajili ya nauli na lunch, kawaka vibaya anasema hatoi hata 100! Nimecheki na staff wengine kwamba jamani eeh, nikicalculate usafiri na lunch hadi tarehe 15 mwezi huu napata kama elfu 50, mtu anikopeshe then ntampa 60 au 70, kila mtu kilio. Wadau nifanyeje maana hapa ninapoandika sina hata 100 na jumatatu niwe kazini kama kawaida!