pita Tala na Branch au pambana na hali yako.Wakuu,
Nimepata ajira kwa muhindi tena nafasi nzuri tu kwenye kampuni kubwa, ila nikamwambia naomba advance hata ya elfu 50 kwaajili ya nauli na lunch, kawaka vibaya anasema hatoi hata 100! Nimecheki na staff wengine kwamba jamani eeh, nikicalculate usafiri na lunch hadi tarehe 15 mwezi huu napata kama elfu 50, mtu anikopeshe then ntampa 60 au 70, kila mtu kilio. Wadau nifanyeje maana hapa ninapoandika sina hata 100 na jumatatu niwe kazini kama kawaida!
yeah jmosi ni half day, officially nimeripoti janaHadi leo upo kazini?
nimetoa wazo hilo in case atakosa kbs angalau impush kwa siku mbili tatu kuliko kukosa kabisa...khs huo mkopo kama akijaza vzr details zaka within an hour atakuwa ameshapataWewe branch wanakukopesha elfu 20, tena unaweza usiipate kwa muda. Huyu anaomba msaada ili apate elfu 50 aweze kujikimu kwa nusu mwezi, cha kufanya tumchangie hiyo elfu 50 kupitia namba ya mdau mmoja, yeye ndio atamtumia. Kurudisha atarufisha hivyo hivyo
Ujinga kisa kukosa elfu 50? Watu hatufanani boss.
Nahisi umetukana robo ya member wa jf
Waone wajamaa wa mikopo ya dhararu, nenda ilala msaada gerej.au fika mawasiliano stend ya daladala, Zack finance wanatoa kuanzia elf tano mpaka m.20 kulingana na dhamana yako tu.wanatusaidia wabangaizaji mjiniSimu ni torch! obline naingia nikiwa ofisini tu
Ntashukuru ukinisaidia mawasiliano yao mkuuWaone wajamaa wa mikopo ya dhararu, nenda ilala msaada gerej.au fika mawasiliano stend ya daladala, Zack finance wanatoa kuanzia elf tano mpaka m.20 kulingana na dhamana yako tu.wanatusaidia wabangaizaji mjini
Wasiliana na huyu member ana kampuni ya mikopo beauty in meNtashukuru ukinisaidia mawasiliano yao mkuu
Simu ni torch! obline naingia nikiwa ofisini tu
Anazngua bange uyu,,hayuko siriasHahaa, hapo umemshika mzee. Pale juu aliulizwa swali kama hilo, akasema anaingia kupitia desktop ya kazini. Halafu amesahau kuwa kwenye uzi wake amesema hyo kaz ataanza j3.asa hyo desktop ya kazin wap tena?
Kama ikieezekanakama ikiwezekana mkuu
Ni kweli jamaa katumia lugha siyo nzuri. Kuna watu, tena wengi tu hata elfu mbili anaisikia tu. Lakini huyu mwanzisha thread anaweza akawa ana mengi yaliyojificha behind the scene! Naona siku hizi kuna mwelekeo wa JF kutumiwa na watu wenye malengo yasiyo na mashiko kuomba misaada.Ujinga kisa kukosa elfu 50? Watu hatufanani boss.
Nahisi umetukana robo ya member wa jf
Piga hesabu ya usafiri tu.Kuhusu lunch si lazima.Jifanye unafanya diet. We tafuta nauli tu,na karanga kidogo basi. Weka namba ya simu watu wanaweza kuchangia hata buku ya jumatatuWakuu,
Nimepata ajira kwa muhindi tena nafasi nzuri tu kwenye kampuni kubwa, ila nikamwambia naomba advance hata ya elfu 50 kwaajili ya nauli na lunch, kawaka vibaya anasema hatoi hata 100! Nimecheki na staff wengine kwamba jamani eeh, nikicalculate usafiri na lunch hadi tarehe 15 mwezi huu napata kama elfu 50, mtu anikopeshe then ntampa 60 au 70, kila mtu kilio. Wadau nifanyeje maana hapa ninapoandika sina hata 100 na jumatatu niwe kazini kama kawaida!
Sasa mbona umesema unakaa na Kaka yako chumba kimoja lakini ampiki.Mkuu, wengine tumelelewa na vituo vya watoto yatima, ukifikisha miaka 18 unaingia mtaani kusaka maisha mwenyewe, so ndugu na amarafiki ni wale unaokutana nao kwenye heka heka zako
Ataingiaje jf?Pole sana, weka simu rehani
Amtumie mara ngapi, Slavery.Ninajua ni ngumu lakini usipende boss wako akujue ki-undani sana, itampa nafasi ya kuku tumia atakavyo.