kichwat
JF-Expert Member
- Mar 4, 2010
- 1,819
- 587
wana JF si vibaya kuwajuza kwamba mawasiliano ya simu yatakuwa mabaya sana jioni ya Valentine's Day (au REVELATION DAY)
Hii itatokana na simu kuishiwa chaji, na matatizo ya mitandao kama ilivyokuwa mwaka jana au mwaka juzi ...HASA KWA WENYE WAPENZI ZAIDI YA MMOJA.
Abiria chunga chako jioni hiyo.
Hii itatokana na simu kuishiwa chaji, na matatizo ya mitandao kama ilivyokuwa mwaka jana au mwaka juzi ...HASA KWA WENYE WAPENZI ZAIDI YA MMOJA.
Abiria chunga chako jioni hiyo.