Muhimu: Rushwa na maafisa malazi katika huduma za hostel Dar es Salaam institute of technology

stormryder

JF-Expert Member
Mar 23, 2013
2,162
2,469
Hii ni moja ya Taasisi muhimu sana katika kuzalisha mahandisi wazuri na wanaosifika Nchini na Ukanda wetu.
Sifa hii ya taasisi ipo mbioni kupotea kama hakuna hatua za wazi hazitachukuliwa juu ya jambo hili.

Wanafunzi wa diploma wanaoletwa na Serikali hutakiwa kulipa Tsh 50, 000/mwaka kwa malazi na wanaojidhamini hutakiwa kulipa karibu Tsh 800, 000/mwaka chakula na malazi. Wanafunzi wa Bachelor wanaopata malazi hulipa Tsh120, 000/mwaka.

Kutokana na tofauti kubwa ya gharama kati ya wanaodhaminiwa na Serikali na wanaojidhamini, Maafisa malazi wa DIT wamekuwa wakitumia fursa hii kupanga watu wachache wa serikali na sehemu kubwa ya hivi vyumba huvifanyia biashara haramu kwa gharama ya hadi Tsh 900, 000 (Malazi peke yake) na Kadi ya chakula (Meal Card) kwa gharama ya Tsh 300, 000/ Semester - Tsh 600, 000/ Semester.

Kwa upande wa Bachelor maafisa malazi huuza vyumba kwa gharama ya 300, 000/Semester yaani Tsh 600, 000.
Kutokana na hali hii sehemu kubwa ya walengwa wa kuu wa huduma hizi (Walemavu, wenye matatizo ya kiafya, finalist , na wanafunzi wasio na ndugu Dar Es Salaam) hukosa pia kuwadhulumu wanafunzi ambao hulazimika kuhangaika kutafuta pesa kwa njia hata zisizo sawa.

Tayari hawa maafisa malazi wameshatumia tumia udhaifu wa kuchelewa kwa fedha za kujikimu(ambayo kwa kiasi kikkubwa ndio hutumiwa na wanafunzi wa Bachelor kulipia huduma za accomodation) na kutoa notes ya tarehe 26 -nov -2018 kama mwisho wa kuwa tayari wameshalipia huduma zote za malazi ndai ya chuo, lengo kuu la kuwafukuza na kuuza hivyo vyumba kwa gharama kubwa zaidi.

Siku ya jumatano nitaleta Tangazo la notes lililotolewa na Bwana Kaseka, afisa Malazi kutoka kwa wanafunzi wanaoumia

DIT kuna wanafunzi wamezuiwa kulipa Tsh 50, 000 na matokeo yake wanalala madarasani, Garage ndani ya magari mabovu, na wengine wanalala nje juu ya vimbweta
 
Imefikia kipindi hata taasisi za kupambana na rushwa wala mamlaka za kinidhamu za hao wardens haziaminiki tena. Haya malalamiko wanayaona sana tu but who cares (as long as haigusi mlo wake moja kwa moja).Siku hawa vijana wakichoka na wakakosa njia nyingine zaidi ya violence wataleta polisi wawaue.
 
Tunaomba jambo hili lishughulikiwe kwa weledi.

Kuna tetesi pia kuwa wanaojilipia hubambikiwa SUP kwa lengo la kukusanya mapato.
Mleta mada wewe ni mdau unaweza kulisemea na hili tulijue.
 
Tunaomba jambo hili lishughulikiwe kwa weledi.

Kuna tetesi pia kuwa wanaojilipia hubambikiwa SUP kwa lengo la kukusanya mapato.
Mleta mada wewe ni mdau unaweza kulisemea na hili tulijue.
Nitalifatilia
 
Imefikia kipindi hata taasisi za kupambana na rushwa wala mamlaka za kinidhamu za hao wardens haziaminiki tena. Haya malalamiko wanayaona sana tu but who cares (as long as haigusi mlo wake moja kwa moja).Siku hawa vijana wakichoka na wakakosa njia nyingine zaidi ya violence wataleta polisi wawaue.
Mapambano ya rushwa yamekuwa selective kwa watu wa juu
 
Inasikitisha sana

Inaelekea huko vyuoni students hawasomi kwa amani.

Nimesoma na kutamani iwe movie.. Hao wanafunzi wanapeleka malalamiko yao kwa nani? Au ndio wanatiwa uoga.

Uongozi wa chuo hicho kweli haijui haya au?

Vyuo vingine vichunguzwe pia.. watoe njia ya wanafunzi kuripoti matatizo.. bila kutakiwa kujulikana ni nani au nani..

Duh!!!!!
 
Inasikitisha sana

Inaelekea huko vyuoni students hawasomi kwa amani.

Nimesoma na kutamani iwe movie.. Hao wanafunzi wanapeleka malalamiko yao kwa nani? Au ndio wanatiwa uoga.

Uongozi wa chuo hicho kweli haijui haya au?

Vyuo vingine vichunguzwe pia.. watoe njia ya wanafunzi kuripoti matatizo.. bila kutakiwa kujulikana ni nani au nani..

Duh!!!!!
Wanaogopa Kudisco
 
Hii ni moja ya Taasisi muhimu sana katika kuzalisha mahandisi wazuri na wanaosifika Nchini na Ukanda wetu.
Sifa hii ya taasisi ipo mbioni kupotea kama hakuna hatua za wazi hazitachukuliwa juu ya jambo hili.

Wanafunzi wa diploma wanaoletwa na Serikali hutakiwa kulipa Tsh 50, 000/mwaka kwa malazi na wanaojidhamini hutakiwa kulipa karibu Tsh 800, 000/mwaka chakula na malazi. Wanafunzi wa Bachelor wanaopata malazi hulipa Tsh120, 000/mwaka.

Kutokana na tofauti kubwa ya gharama kati ya wanaodhaminiwa na Serikali na wanaojidhamini, Maafisa malazi wa DIT wamekuwa wakitumia fursa hii kupanga watu wachache wa serikali na sehemu kubwa ya hivi vyumba huvifanyia biashara haramu kwa gharama ya hadi Tsh 900, 000 (Malazi peke yake) na Kadi ya chakula (Meal Card) kwa gharama ya Tsh 300, 000/ Semester - Tsh 600, 000/ Semester.


Kwa upande wa Bachelor maafisa malazi huuza vyumba kwa gharama ya 300, 000/Semester yaani Tsh 600, 000.
Kutokana na hali hii sehemu kubwa ya walengwa wa kuu wa huduma hizi (Walemavu, wenye matatizo ya kiafya, finalist , na wanafunzi wasio na ndugu Dar Es Salaam) hukosa pia kuwadhulumu wanafunzi ambao hulazimika kuhangaika kutafuta pesa kwa njia hata zisizo sawa.

Tayari hawa maafisa malazi wameshatumia tumia udhaifu wa kuchelewa kwa fedha za kujikimu(ambayo kwa kiasi kikkubwa ndio hutumiwa na wanafunzi wa Bachelor kulipia huduma za accomodation) na kutoa notes ya tarehe 26 -nov -2018 kama mwisho wa kuwa tayari wameshalipia huduma zote za malazi ndai ya chuo, lengo kuu la kuwafukuza na kuuza hivyo vyumba kwa gharama kubwa zaidi.


Siku ya jumatano nitaleta Tangazo la notes lililotolewa na Bwana Kaseka, afisa Malazi kutoka kwa wanafunzi wanaoumia

DIT kuna wanafunzi wamezuiwa kulipa Tsh 50, 000 na matokeo yake wanalala madarasani, Garage ndani ya magari mabovu, na wengine wanalala nje juu ya vimbweta
Naomba ntumie taarifa zake huyo mtu pm
 
Inasikitisha sana

Inaelekea huko vyuoni students hawasomi kwa amani.

Nimesoma na kutamani iwe movie.. Hao wanafunzi wanapeleka malalamiko yao kwa nani? Au ndio wanatiwa uoga.

Uongozi wa chuo hicho kweli haijui haya au?

Vyuo vingine vichunguzwe pia.. watoe njia ya wanafunzi kuripoti matatizo.. bila kutakiwa kujulikana ni nani au nani..

Duh!!!!!
DITSO amabyo ndio ingetetea wanafunzi ndio siku hzi mazombi kweli kweli yaan wanatulizwa kwa kigezo cha kuhaidiwa nafasi za kazi wanapomaliza ajira. DIT ilipata serikali ya wanafunzi kipindi cha Himilda Elihuruma (Best President of all the time DIT) akisaidiwa na Steven Lumola (PM) pasipo kumsahau Greyson MC wa kumng'oa Professor Kondoro pale DH Jamaa nakumbuka alikuwa waziri wa michezo. TIFU la kufa mtu DIT kuwahi kutokea lakini faida ilionekana baada ya mgomo ata Block 3 ikarekebishwa.
 
Back
Top Bottom