Shadeeya
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 48,323
- 115,323
Mtani hebu huko. 🏃♂️🏃♂️Usijali Mtani, ukiishika utazikuta taarifa zetu, maana kwa kifurushi hiki cha wiki cha TTCL lazima tukutumie mapicha mpaka ukome mwenyewe.
#thankstoo
Mtani hebu huko. 🏃♂️🏃♂️Usijali Mtani, ukiishika utazikuta taarifa zetu, maana kwa kifurushi hiki cha wiki cha TTCL lazima tukutumie mapicha mpaka ukome mwenyewe.
#thankstoo
SeenNgumu sana hasa kama ni huduma kwa wateja tu wa ngazi ya chini hawezi saidia. Fikiria vocha za ttcl tu hazipatikani. Kusema dunia ya digital nunua mtandaoni ni kutuonea tunaoishi vijijini
Sawa mkuuAaaaaah nyie vijana mnapelekeshwa na wazee wanaotumia vitochi katika age ya smartphone so hata hawaoni umuhimu wa bundle kuwa kubwa.... Wanarahisisha maisha kipuuzi.
SolvedBaada ya matangazo meengi ya kujinasibu sana kuhusu nyumbani kumenoga nikanunua simcard ya TTCL....Duh kumbe nimeingia mkenge.....kwanza coverage yake siyo kiviile kama nilivyofikiria...yaani hata ukisagiri Dar - Dom inapatikana kwa tabu sana....sasa hivi hapa nillipo ni Dom Town pamoja na kuweka 25GB za internet hopeless kabisa....nimeweka ya Voda 80 MB ya kukopa Tsh 500 ....net imefunguka vizuri....na hii ni mara nyingi maeneo mbalimbali....sasa najiuliza TTCL mnakwama wapi mbona huduma zenu za kusua sua sana?...MwaKA jana Aprili niliomba uwakala ...kila siku nikienda napigwa kalenda na maelekezo napewa tofauti tofauti....nika nyoosha mikono.....au likiwa shirika la umma basi ndiyo lazima liachwe nyuma kila kitu?
Ndugu mteja,
Una tatizo lolote unapotumia mtandao wetu? Una ushauri wowote ili tuiboreshe huduma yetu?
Tafadhali itumie mada (thread) hii ili tukusaidie kwa urahisi.
Unapokuwa na tatizo, ili tukusaidie kirahisi zingatia haya:
- Ni tatizo gani? (T-PESA, SMS, Calls, Internet, usajili, kukatika kwa mawasiliano n.k)
- Maeneo gani? (Tukifahamu maana ulipo, inakuwa rahisi kukuelekeza wapi uende ili upate msaada toka kwa wakala wetu aliye karibu nawe)
- Tatizo limeanza lini na limejirudia au kuendelea kuwa kero kwako kwa muda gani?
- Kama ni ushauri, zingatia ya juu lakini tutafurahi tukijua kwanini unapendekeza unachopendekeza.
- Kama ni pongezi, zingatia ya juu na tungependa pia upendekeze lipi tufanye kuzidi kuiboresha huduma kwako.
Karibu.
Rudi Nyumbani Kumenoga
Lipoje hilo
Sasa hivi kipoje?mimi line yangu niliinua mwaka juzi wakati nipo chuoni ni line ya chuo. nikibonyeza *148*30*35# inanipa menu napata 3GB kwa 2500 kwa wiki.
Laini unayo?Nataka kutumia Internet ya TTCL nifanyeje.
Hiyo ni ROAMING.Nina line ya TTCL, kuna wakati nikbadilisha na kuweka hiyo line kwenye baadhi ya simu, inaniandikia TIGO badala ya TTCL, swali langu ni kwanini inakuwa hivyo?