Kurunzi
JF-Expert Member
- Jul 31, 2009
- 9,263
- 9,883
Napenda kuwakaribisha wale wote waliosoma Dom sec kwenye sherehe ya mwaka ya wanadomsec itakayofanyika leo 20/08 Mbalamwezi Beach kuanzi 5 asubh mpaka tee, vinywaji na misosi kila mtu atajitegemea.
Pamoja na mambo yote tutajadiliana mstakabali wa shule yetu na mchakato wa kuanzisha umoja wa wanadomsec unakaribishwa sana.
Pamoja na mambo yote tutajadiliana mstakabali wa shule yetu na mchakato wa kuanzisha umoja wa wanadomsec unakaribishwa sana.