Muhimu: Furniture

Mambo Jambo

JF-Expert Member
Jul 11, 2008
1,100
81
Wakuu ni maduka gani jijini Dar es Salaam naweza kupata furniture za nyumbani imported nzuri na kwa bei nzuri.

Asante sana,

MJ
 
Kama unahela zako nenda lifemate furniture, na pale round about ya bill cana kuna duka w la mapazia na furniture, ila kama pesa ni za mawazo nenda kariakoo gerezani.
 
Mambo Jambo za long time mkuu.

Mkuu kama bado uko ughaibuni ni bora ununue furniture huko huko nakumbuka sister amehamia dar april na kipindi hicho nilikuwa dar tukaanza zoezi la kutafuta furniture hakuna kitu kabisa, ziko vitu za ajabu ajabu tu, ikabidi sister aagize furniture south africa kama uko interested ni PM lakini bongo utapoteza muda wako tu.
 
Mambo Jambo za long time mkuu.<br />
<br />
Mkuu kama bado uko ughaibuni ni bora ununue furniture huko huko nakumbuka sister amehamia dar april na kipindi hicho nilikuwa dar tukaanza zoezi la kutafuta furniture hakuna kitu kabisa, ziko vitu za ajabu ajabu tu, ikabidi sister aagize furniture south africa kama uko interested ni PM lakini bongo utapoteza muda wako tu.
<br />
<br />
gamba, unafanya mchezo na furniture za s.f, si mchezo na bei yake imeenda shule ndo maana akaulizia bongo. Ila nilikomuelekeza furniture zao ni nzuri na ziko kiwango at- least. But kama hela zake za mawazo itakuwa kazi
 
Kama unahela zako nenda lifemate furniture, na pale round about ya bill cana kuna duka w la mapazia na furniture, ila kama pesa ni za mawazo nenda kariakoo gerezani.
<br />
<br />
Asante sana, btw: hela ya mawazo ni nini?
 
Mambo Jambo za long time mkuu.<br />
<br />
Mkuu kama bado uko ughaibuni ni bora ununue furniture huko huko nakumbuka sister amehamia dar april na kipindi hicho nilikuwa dar tukaanza zoezi la kutafuta furniture hakuna kitu kabisa, ziko vitu za ajabu ajabu tu, ikabidi sister aagize furniture south africa kama uko interested ni PM lakini bongo utapoteza muda wako tu.
<br />
<br />

Gamba Jipya heshima mbele sana mkuu wangu.

Duh, umenikatisha tamaa kabisa kiongozi, nilidhani na mambo ya utandawazi basi Bongo itakuwa kama newyork, nitajaribu Dar es salaam nikipiga mwamba then nitaku PM unipe contact za hao jamaa zako wa Z.A
OT: DC kwema lakini mkuu.
 
Living Room wana fenicha za ukwelli branded from Italy,Canada n.k,kama hela yako ya kuhesabia chooni pale Mlimani City ndani karibu na duka la vinyago nao wanauza fenicha nzuri sana na imara kuliko hizo za mtoni ambazo zikinyeshewa na mvua ndio kwishne,za hapo dukani ni za mbao halisi zinatengezezwa bongo lakini zina kiwango cha hali ya juu
 
Nenda maridadi timberworks, unaweza kusearch online wana website, ibing tu mkuu utajionea. Huyo mzingu yupo serious na mninga wacha masikhara. Na bei zake ni sawa na product, achana na living room wanauza sofa moja na chair milioni tisa, coffee table mil 4. Wale jamaa wana masikhara kabisa. Ila wazo la jamaa hapo juu ni bomba zaidi kuagiza toka nje. Quality wenzetu wanaivalue haswaa, na hamna ubabaishaji wa kuambiwa imetoka italy wakati ni kutoka kwa jamaa wenye macho madogo.
 
Dependng on your budget hao wahindi wa Living Room wanazo sofa nzuri around 5M-8M, la kawaida around 2.7M.
Kama hao unaona aghali,nenda kwa wahindi tena Furniture centre unapata around 500K-1M, wanatoa guarantee hewa, kama bado hao aghali njoo Keko karibu na VETA hawatoi guarantee unapata sofa kwa 120-250,000Thou kama bado ni aghali njoo Tandika unapata kiti kama cha dinning na kitanda kwa 45,000 kama bado ni aghali nenda Gerezani kuna vile ambavyo ni used lakini huwezi kujua hata ambavyo mtu kapigwa nondo navyo vimo unapata hata kwa 50,000 furniture za nyumba nzima-ahahhhhhhhhhhhhhhhha
 
Living Room wana fenicha za ukwelli branded from Italy,Canada n.k,kama hela yako ya kuhesabia chooni pale Mlimani City ndani karibu na duka la vinyago nao wanauza fenicha nzuri sana na imara kuliko hizo za mtoni ambazo zikinyeshewa na mvua ndio kwishne,za hapo dukani ni za mbao halisi zinatengezezwa bongo lakini zina kiwango cha hali ya juu
<br />
<br />
Asante mkuun btw hela za kuhesabia chooni ni hela gani mkuu, za wizi au za dili fake?
 
Nenda maridadi timberworks, unaweza kusearch online wana website, ibing tu mkuu utajionea. Huyo mzingu yupo serious na mninga wacha masikhara. Na bei zake ni sawa na product, achana na living room wanauza sofa moja na chair milioni tisa, coffee table mil 4. Wale jamaa wana masikhara kabisa. Ila wazo la jamaa hapo juu ni bomba zaidi kuagiza toka nje. Quality wenzetu wanaivalue haswaa, na hamna ubabaishaji wa kuambiwa imetoka italy wakati ni kutoka kwa jamaa wenye macho madogo.
<br />
<br />
Poa mkuu,nitajaribu kuwacheki hao jamaa, kama ikishindikana upatikanaji wa HQ itabidi nimcheck gamba jipya anipe mchongo wa s.a.
 
Dependng on your budget hao wahindi wa Living Room wanazo sofa nzuri around 5M-8M, la kawaida around 2.7M.<br />
Kama hao unaona aghali,nenda kwa wahindi tena Furniture centre unapata around 500K-1M, wanatoa guarantee hewa, kama bado hao aghali njoo Keko karibu na VETA hawatoi guarantee unapata sofa kwa 120-250,000Thou kama bado ni aghali njoo Tandika unapata kiti kama cha dinning na kitanda kwa 45,000 kama bado ni aghali nenda Gerezani kuna vile ambavyo ni used lakini huwezi kujua hata ambavyo mtu kapigwa nondo navyo vimo unapata hata kwa 50,000 furniture za nyumba nzima-ahahhhhhhhhhhhhhhhha
<br />
<br />
Mkuu budget siyo tatizo mkuu cha msingi quality mkuu wangu, asante nitawacheck hao living room.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom