Mzukulu
JF-Expert Member
- Feb 14, 2020
- 1,401
- 2,629
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Una umri gani kwanza?Matangazo yote ya bima za afya hamuyaoni?
Serikali hii ni ya kilaghai sana. Yaani gharama za huduma za afya kwa sasa ziko juu sana.Una umri gani kwanza?
Unadhani Kila mtu Ana uwezo Kama wewe? Hata dini yako haikufundishi Kama Kuna wenye uwezo na wasio na uwezo?
So sadNimetoka kumpigia simu huyu kijana. Kwa kweli anaongea kwa uchungu hadi nimedondosha chozi. Anasema amepewa taarifa kwamba huko kwao kuna kilio kijiji kizima.
Mheshimiwa Magufuli si amekuwa akisisitiza kila mara kwamba hii ni serikali ya wanyonge, sasa kulikoni wanyonge wananyongwa?
Hii ni AIBU na FEDHEHA kwa CCM. Muoneeni huruma huyu mvuja jasho.
AiseeMatangazo yote ya bima za afya hamuyaoni?
Serikali ilitoa majibu baada ya wabunge wa Chama chetu CCM kulala fofofo akatokea mbunge wa upinzani kutetea wanyonge mauti zao kukataliwa na hospital za serikali. Kwa sababu mauti eti inadaiwa!!
kweli serikali inazdai maiti pesa?maiti inaweza kulipa kweli?hvi unaidaije maiti? Serikali ni chombo cha kulinda group fulani la wanyonge sasa hapa inafanya nini?
Inauma Sana Ndugu zangu!!
Tatizo Ni mfumo wa ulipaji wa fedha kwa njia ya POS amepelekwa akahudumiwa bili inasoma. Hivyo huo mfumo waubadili.
maiti inaenda kuwa cadaver ya kufundishia medical school, hakuna hasara kwa serikalimtalazimika kuingia gharama wenyewe maana marehemu sasa atazikwa na manispaa ya jiji.
Siku maiti ya babako itakaposhikiliwa ndipo utakatambua kwamba serikali ya CCM ni ya kihuni.maiti inaenda kuwa cadaver ya kufundishia medical school, hakuna hasara kwa serikali
na si huyo mmoja mwenye madeni hayo, serikali haifanyi kazi kwa huruma za mtu mmoja mmoja kwa vile kasikika Jamiiforums au katoka Tandahimba
suluhisho la serikali kwa jamii katika ujumla wake ni bima ya afya, tuiizingatie
hakuna mfiwa ambae yeye eti hana na majonzi au ana mahela ya kulipia halafu wengine ndio wanq majonzi sana wasilipe...
Hii habari imenisikitisha sana, pole sana kwake kijana.Serikali hii ni ya kilaghai sana. Yaani gharama za huduma za afya kwa sasa ziko juu sana.
Lakini bado CCM inaendelea kuwadanganya watanzania kwamba huduma za mama na mtoto ni bure wakati huduma za kujifungua pekee ni LAKI MBILI.
Yaani hiki chama kimekuwa kikitunyonya tangu uhuru..