Marco Polo
JF-Expert Member
- Jan 16, 2014
- 9,033
- 12,586
Katika mojawapo ya viongozi wenye roho mbaya ni hii serikali ya Tanganyika, yaani hawana hutu kabisa, naipa hongera serikali ya SMZ chini ya Mh Shein haya mambo huwez yaona wala kusikia ila huku Tanganyika kuna jitu huwa linaona fahari kumwaga pesa kwa mtu mmoja mmoja badala ya kurekebisha mifumo na sheria kama hizi.....poor Tanganyika