HII ITAPUNGUZA VIFO KWA WAGONJWA WA MOYO NA GHARAMA ZA USAFIRISHAJI INDIA.INABIDI TUWAPONGEZE NA KUWAPA MOYO WAENDELEE.
source;habari katika picha:http://www.habarileo.co.tz/
source;habari katika picha:http://www.habarileo.co.tz/
...wako sahihi ..wanafanya majaribio na sisi ndio "guinea pigs" wao. Mpaka hapo watakapojiamini na utaalamu waliofundishwa huko India.mtangazaji mmoja jana aliniacha hoi baada ya kutangaza Hospitali ya muhimbili imeanza kufanya MAJARIBIO YA UPASUAJI WA MOYO. Yaani majaribio? on who' s heart?