mshale21
JF-Expert Member
- Apr 8, 2021
- 2,050
- 4,904
Serikali wilayani Muheza mkoani Tanga imewataka wanaume ambao wamekuwa wakinyanyaswa kwa kupewa vipigo na wake zao kutonyamaza, badala yake watoe taarifa kwa vyombo husika, ili hatua za kisheria zichukuliwe.
Hayo yamesemwa na mkuu wa Wilaya ya Muheza, Halima Bulembo, wakati akizungumza na wakazi wa Kijiji Cha Magoda kata ya kisiwani, wakati akikamilisha ziara ya vijiji 29 Kati ya 126 vilivyomo katika Tarafa ya amani.
"Wanaume wamekuwa wakipoteza maisha kutokana na msongo wa mawazo, kwa upande wa wanawake Wana uwezo wa kusema matatizo yao, kwa ndugu na jamaa zao, lakini wanaume Wana aibu, msione haya, nipigieni simu nitamwita mwanamke husika ili nimwonye" alisema
______________________________________________________________________
Ushauri wangu!
Kama wewe Ni mwanaume na unatembezewa kichapo na mkeo, basi wewe ni dume Suruali! Badilika
Hayo yamesemwa na mkuu wa Wilaya ya Muheza, Halima Bulembo, wakati akizungumza na wakazi wa Kijiji Cha Magoda kata ya kisiwani, wakati akikamilisha ziara ya vijiji 29 Kati ya 126 vilivyomo katika Tarafa ya amani.
"Wanaume wamekuwa wakipoteza maisha kutokana na msongo wa mawazo, kwa upande wa wanawake Wana uwezo wa kusema matatizo yao, kwa ndugu na jamaa zao, lakini wanaume Wana aibu, msione haya, nipigieni simu nitamwita mwanamke husika ili nimwonye" alisema
______________________________________________________________________
Ushauri wangu!
Kama wewe Ni mwanaume na unatembezewa kichapo na mkeo, basi wewe ni dume Suruali! Badilika