dikteta2020
JF-Expert Member
- Aug 14, 2018
- 595
- 3,990
Haya haya haya Mwana FA usiyempenda yupo mlangoni anakugongea.
Kazi unayo Mwanaccm uliyetaka kubebwa.
===
Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) jana siku ya Tarehe 10 September 2020 ilitoa ilitoa majibu ya rufaa zilizokatwa na Wagombea mbalimbali ambao waliondolewa awali.
Katika Jimbo la Muheza Mgomea wa Chadema Bi Yosefa Komba amefanikiwa kushinda rufaa yake na kurejeshwa katika kinyang'anyiro cha kuwania Ubunge katika jimbo hilo. Aidha, Bi Yosefa Komba atachuana na Ndugu Khamis Mwinjuma (Mwana FA) ambaye anagombea kupitia Chama cha Mapinduzi.
PIA SOMA
= > Uchaguzi 2020 - NEC yapitia na kuchambua Rufaa 67 za Wagombea Ubunge na Udiwani
Kazi unayo Mwanaccm uliyetaka kubebwa.
===
Katika Jimbo la Muheza Mgomea wa Chadema Bi Yosefa Komba amefanikiwa kushinda rufaa yake na kurejeshwa katika kinyang'anyiro cha kuwania Ubunge katika jimbo hilo. Aidha, Bi Yosefa Komba atachuana na Ndugu Khamis Mwinjuma (Mwana FA) ambaye anagombea kupitia Chama cha Mapinduzi.
PIA SOMA
= > Uchaguzi 2020 - NEC yapitia na kuchambua Rufaa 67 za Wagombea Ubunge na Udiwani