Theb
JF-Expert Member
- Jan 25, 2019
- 3,929
- 7,268
Ewe dada ewe kaka ewe kijana wa kike na wakiume acha tamaa macho hayajawahi tosheka kuona. Sikila mwanamke/mwanaume lazima uzini naye tuache tamaa. Na zinaaa haipambiki ni haramu na chukizo mbele za MUNGU. nimewaza tu. Nahisi roho mtakatifu anatenda kazi yake ndani ya nafsi yangu sasa
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app