Bryson Mbeula
Member
- Sep 25, 2011
- 46
- 4
MUHASSO ni chama cha wanafunzi wa chuo kikuu cha afya na sayansi shirikishi cha Muhimbili, wanajamii wenzangu nadhani wote mnakumbuka kuwa chama hiki kilifutwa na utawala wa MUHAS kibabe tu na baadhi viongozi wa serikali ya wanafunzi wana kesi adi sasa! Shule ni tar 10 oct. afu registration, accomodation n.k ni issues ambazo utawala wa MUHAS huwa unasuasua! hebu tuone kama MUHAS bila MUHASSO inawezekana.! Karibuni first year apa MUHIMBILI UNIVERSITY OF HYPERTENSION AND ASSOCIATED STRESSES (MUHAS). Kwa mfumo huu wa elimu tz 2nafukuza jet kwa mguu, maendeleo ni baadae sana!