KTK ule mwendelezo wa sheria kandamizi ndani ya vyuo vyetu hapa nimetoka kukabidhiwa barua ya suspension kwa muda usiojulikana kwa kosa la kufanya maandamano tarehe tajwa hapo juu. Suala linasikitisha coz ni wanafunzi wote walishiriki kwenye huo mgomo lakini sijui hizo criteria zimefikiwajwe. Ifiunake mahali hii nchi wajue kuwa haki ya m2 iheshimiwe coz sisi tulikuwa tunadai kile tunachokiamini pls wanajikwaa hebu litazameni hili kweli Prf Pallangyo ni tatizo kwa muhas