The Icebreaker
JF-Expert Member
- Feb 11, 2018
- 18,141
- 51,013
Mkuu,kwahiyo jambo mpaka lianzie kwa mzungu ndio lionekane ni halali au linafaa?Nitajie muhamasishaji wa Chelsea.
Kuwapa tu watu hela za bure.
Mkuu,kwahiyo jambo mpaka lianzie kwa mzungu ndio lionekane ni halali au linafaa?Nitajie muhamasishaji wa Chelsea.
Kuwapa tu watu hela za bure.
Simba nao wapumbavu, haiwezekani kilaza kama huyu akawa mhamasishaji wa chama kubwa..
Huyu jamaa anaongeaga pumba. Kwenye kuhamasisha kuelekea Simba day alitoa boko, namnukuuMatangazo ya mechi ya Jumapili kule Azam TV yalipooza sana.
Angalau leo Mwijaku amekuja na 'It is Not Over' Kazi iendelee pale tulipoishia.
Acha wivu ulitaka wakupe wewe?... Uchawi ndio unaanzaga hivi hivi kwa chuki binafsiSimba nao wapumbavu, haiwezekani kilaza kama huyu akawa mhamasishaji wa chama kubwa..
Hana vigezo sema basi mpira wetu uswahili mwingiKwamba Mwijaku Ndio anaongea na Wachezaji anakuja Kuwaeleza Mashabiki Wa Makolo Fc?
Ila Mwijaku alitafuta sana Huu Uhamasishaji wa Team, alikuwa anajipendekeza Sana kwa Baba.
View attachment 1981827
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna msemaji wa timu anatosha.Mkuu,kwahiyo jambo mpaka lianzie kwa mzungu ndio lionekane ni halali au linafaa?
Duuh, una wivu wa like haswaa, kisa jamaa kapata dili mjini.Sishangai
Maana ndio takataka simba ilizokaribisha karibu
Simba should be bigger than lile topolo linaloitwa mwijaku
Ni kukopu TU na mazingira wakati mwingine. Klabu kubwa msemaji ni meneja wa timu yaani kocha.Mohamed mswahili Simba inatakiwa iende kwenye level za klabu kubwa afrika, Kama Simba unataka watu wamahasike wanatakiwa wafanye vizuri uwanjani hao kina mwijaku ni watu wa kutafuta kick hawana tofauti na Manara
Mdomo kweli unalipa si hiyo nafasi wampe yule dr kumbuka
The guys is just rubbishDuuh, una wivu wa like haswaa, kisa jamaa kapata dili mjini.
Km hukubali wanachofanya wengine hata mwenyewe hutajikubali na wengine hawakukubali. Two way traffic!