Muhamasishaji wa Simba Mwijaku

Muhamasishaji ni tofauti na hafisa habari wa timu naona kuna Nyani wanachanganya mambo.
Muhamasishaji anaweza kua mtu yoyote yule.
 


Simba Nguvu Moja

One Dream
One Team



Tanzania , Macho Yapo Simba Tu Ambayo Inafanya Vema
Ndani Ya Nchi Na Nje. Wale Wahuni Wanateseka Tu Sasa
 
mwache nae ni wakati wake wa kukomba mashabiki kwenye Instagram.. mungu akifungua njia ya mafanikio ya mtu hakuna wa kuzuia.
 
Simba nao wapumbavu, haiwezekani kilaza kama huyu akawa mhamasishaji wa chama kubwa..
Huwezi kumjaji mtu KWA hisia zako.
Mjaji KWA performance ya kazi yake. Kuna unaodhani hawawezi lkn wakipewa nafasi wanaonyesha uwezo na ambao unadhani wanaweza lkn hawawezi.

Tuwaunge mkono watafanya kazi yao.

Tatizo mlishazoea kelele.
Tatizo huwezi kujua Mbongo anataka nini. Ni vigeugeu, wafitini, wachawi nk.

Wengi mnaongea humu si kwasababu Mwijaku na Mziwanda hawana uwezo bali HUSDA NA WIVU vimewajaa vifuani.
 
Km Kuna mtu hawataki wahamasishaji wetu na akufe tu hamna namna.

Sisi ni mashabiki wa Simba siyo mtu. Yeyote atakaeletwa tutamsapoti. Kwamba Simba yote na bodi ya wakurugenzi hawana akili. Ni ujinga.

Sisi tunataka burudani uwa na matokeo mazurinjani
 
Basi wasingemuajiri muhamasishaji kama ni hivyo
Anamaaniaha Ni ziada tu na kutia hamasa lkn mwisho wa siku wachezaji ndivyo wenye matokeo.

Hebu sajili magarasa na benchi la ufundi la hovyo halafu utegemee kuwa wahamasishaji wataleta matokeo mazuri.

Watu wakienda uwanjani wachezaji wanapata hamasa na timu inapata mapato pia lkn siyo lazima kwamba mhamasishaji ndiyo chachu ya ushindi
 
Tizama huyu nae, unaongea kama una upungufu wa kende..

Sasa huyo mpuuzi ana uhuni gani kwenye soka,we wahuni wa mpira unawajua, soka la bongo haliwezi kuendelea kwa kuendekeza upuuzi kama huu.
Kwani mwijaku ana tatizo Gani? Maana kama elimu anazo degree mbili,kama kuongea anajua,pia anajua kuandika na kuzungumza lugha mbili kwa ufasaha kiingereza na kiswahili,anajua lugha za kuamasisha sasa sijui tatizo lake liko wapi?!
Maana naona amemzidi hata yule aliekuepo kwa kigezo cha elimu,maana aliekuepo ukiondoa maneno mengi matusi,na kejeli, elimu yake ni kidato cha pili na elimu ya madrasa tu,Mwijaku anafaa kama wamempatia nafasi sio mbaya,usiweke roho mbaya hadi kwenye riziki,maana mgawaji ni Mungu.
 
Km Kuna mtu hawataki wahamasishaji wetu na akufe tu hamna namna.

Sisi ni mashabiki wa Simba siyo mtu. Yeyote atakaeletwa tutamsapoti. Kwamba Simba yote na bodi ya wakurugenzi hawana akili. Ni ujinga.

Sisi tunataka burudani na matokeo mazuri uwanjani.
 
Kwani mwijaku ana tatizo Gani? Maana kama elimu anazo degree mbili,kama kuongea anajua,pia anajua kuandika na kuzungumza lugha mbili kwa ufasaha kiingereza na kiswahili,anajua lugha za kuamasisha sasa sijui tatizo lake liko wapi?!
Maana naona amemzidi hata yule aliekuepo kwa kigezo cha elimu,maana aliekuepo ukiondoa maneno mengi matusi,na kejeli, elimu yake ni kidato cha pili na elimu ya madrasa tu,Mwijaku anafaa kama wamempatia nafasi sio mbaya,usiweke roho mbaya hadi kwenye riziki,maana mgawaji ni Mungu.
Husda na wivu mkuu. Huwezi kujua mtanzania anataka nini.
 
Kwani mwijaku ana tatizo Gani? Maana kama elimu anazo degree mbili,kama kuongea anajua,pia anajua kuandika na kuzungumza lugha mbili kwa ufasaha kiingereza na kiswahili,anajua lugha za kuamasisha sasa sijui tatizo lake liko wapi?!
Maana naona amemzidi hata yule aliekuepo kwa kigezo cha elimu,maana aliekuepo ukiondoa maneno mengi matusi,na kejeli, elimu yake ni kidato cha pili na elimu ya madrasa tu,Mwijaku anafaa kama wamempatia nafasi sio mbaya,usiweke roho mbaya hadi kwenye riziki,maana mgawaji ni Mungu.
Kiboko ya haji alikuwa jerry murro sasa kaletewa zaidi ya jerry murro,mo aliona hawezi kujibizana na kima kama haji akaona amletee wa kufanana nae
 
Mohamed mswahili Simba inatakiwa iende kwenye level za klabu kubwa afrika, Kama Simba unataka watu wamahasike wanatakiwa wafanye vizuri uwanjani hao kina mwijaku ni watu wa kutafuta kick hawana tofauti na Manara
 
Back
Top Bottom