City Of Lies
JF-Expert Member
- Sep 8, 2011
- 3,758
- 4,188
Magufuli alimpa pesa kila wakati,alimpa nyumba ya kuishi, alimpa ulinzi na gari ya gharama yaani alikuwa akiishi kifahari kwa hisani ya Magufuli huku waumini wake wengi wakiteseka kwa maisha magumu huku wakidhalilishwa kwa kuitwa magaidi na wala hata hakuthubutu hata kuhoji tu kinachowasibu masheikh wenzake walioshikiliwa gerezani bila kufikishwa mahakamani sasa mtu kama huyo atakosaje kumsifia bwana wake.
Yuko anapambana na MIJITU kwanza mkuu.