Ikhtilafu iwe katika matawi lakini sio katika shina. Lakini cha ajabu ikhtilafu hizi ndogo baadhi ya walio na uwezo mdogo wa kufikiri wanayashadadia na kutia tashtiti mpaka kuleta farqa. Ndio maana ulimwenguni fasad imetawala.Al ikhtilafu l ulaamu rahmah