Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,000
- 9,861
Mufti wa Tanzania, Aboubakar Zuberi ametoa pole kwa Watanzania wote na walioguzwa na taarifa za kifo cha Rais Magufuli kilichotokea Machi 17, 2021.
Amesema kwa maadili ya dini ya kiislamu marehemu anatakiwa kukumbukwa kwa mazuri. Hivyo ametoa wito kwa watanzania kukumbuka mazuri ya Rais Magufuli.
Aidha ameomba kuendelea kuomba dua ili atakayechukua nafasi ya Rais Magufuli ajaaliwe ‘taufik’ katika uongozi.
Amesema kwa maadili ya dini ya kiislamu marehemu anatakiwa kukumbukwa kwa mazuri. Hivyo ametoa wito kwa watanzania kukumbuka mazuri ya Rais Magufuli.
Aidha ameomba kuendelea kuomba dua ili atakayechukua nafasi ya Rais Magufuli ajaaliwe ‘taufik’ katika uongozi.