Mufti Simba angaka - Azuia misikiti kubeba wanasiasa

Status
Not open for further replies.
Simba sio mufti maana ni mganga wa kienyeji kwa hiyo hana usafi wa kuwa mufti...akae tu auguze kisukari siasa hawezi maana hata iweje nchi haitakaa ije kuwa na rais muislamu milele
 
Ukweli Tanzania ikimpitisha Lowasa kua rais basi taifa letu litakua ni taifa la watu ambao hawajitambui!!
 
Lowasa alisilimu lini? ?? Nawachukia bakwata lakini simba kaongea maneno ya busara sana..
 
NUKUU KUTOKA GAZETI LA NIPASHE LEO,

“Nawasihi masheikh na viongozi wengine wa kidini tusitoe fursa kwa wanasiasa waliofilisika, na ambao wameshindwa kujihalalisha mbele ya wananchi kwa kutumia sera za vyama vyao, na badala yake wanakimbilia kupeleka fedha misikitini kwa nia ya kuiteka misikiti yetu na nyumba zingine za ibada, na kuifanya kuwa vituo vya kupigia kura na kampeni badala ya kufanyia ibada".

Aliwasihi viongozi wa dini kulinda heshima zao kwa kusimamama imara kupinga kuhusishwa dini pamoja na madhehebu wanayoyaongoza na siasa na wawatazame wanasiasa ambao wanadhani njia ya kuendea Ikulu ni kupitia nyumba za ibada kuwa watu hao ni hatari. Alisisitiza Shekh Mkuu!
 
NUKUU KUTOKA GAZETI LA NIPASHE LEO,

“Nawasihi masheikh na viongozi wengine wa kidini tusitoe fursa kwa wanasiasa waliofilisika, na ambao wameshindwa kujihalalisha mbele ya wananchi kwa kutumia sera za vyama vyao, na badala yake wanakimbilia kupeleka fedha misikitini kwa nia ya kuiteka misikiti yetu na nyumba zingine za ibada, na kuifanya kuwa vituo vya kupigia kura na kampeni badala ya kufanyia ibada".

Aliwasihi viongozi wa dini kulinda heshima zao kwa kusimamama imara kupinga kuhusishwa dini pamoja na madhehebu wanayoyaongoza na siasa na wawatazame wanasiasa ambao wanadhani njia ya kuendea Ikulu ni kupitia nyumba za ibada kuwa watu hao ni hatari. Alisisitiza Shekh Mkuu!

Mwenye masikio na asikie. Kinachoendelea sasa hivi ni majanga,
 
NUKUU KUTOKA GAZETI LA NIPASHE LEO,“Nawasihi masheikh na viongozi wengine wa kidini tusitoe fursa kwa wanasiasa waliofilisika, na ambao wameshindwa kujihalalisha mbele ya wananchi kwa kutumia sera za vyama vyao, na badala yake wanakimbilia kupeleka fedha misikitini kwa nia ya kuiteka misikiti yetu na nyumba zingine za ibada, na kuifanya kuwa vituo vya kupigia kura na kampeni badala ya kufanyia ibada". Aliwasihi viongozi wa dini kulinda heshima zao kwa kusimamama imara kupinga kuhusishwa dini pamoja na madhehebu wanayoyaongoza na siasa na wawatazame wanasiasa ambao wanadhani njia ya kuendea Ikulu ni kupitia nyumba za ibada kuwa watu hao ni hatari. Alisisitiza Shekh Mkuu!
Atujulishe atachukua hatua gani kwa wanaokiuka agizo hilo?
 
Ni tamko muhimu sana lakini lina kasoro nyingi sana ambazo zinafanya lionekane kama porojo tupu, kwa mfano:
1/Tamko Limekuja limechelewa sana, haya mambo yameanza muda mrefu sana lakini Mufti(Sheikh Mkuu) amekuwa kimya hivyo kwa wengine litaonekana lina mlenga Lowassa na Lipumba ambao wameripotiwa sana siku za karibuni kufanya hayo.

2/Kwanini Multi asipige marufuku mtu yoyote kufanya siasa misikitini na badala yake yeye amekataza kwa 'Wanasiasa waliofilisika' tu. Vipi kwa mtu ambaye sio mwanasiasa ama kwa mwanasiasa maarufu(Asiyefilisika)?
Kwa tamko hili bado sheikh mkuu naye inaonekana anatumika na wanasiasa fulani kutoa tamko hii.

3/Ameshindwa kusema ni hatua gani amezichukua kwa waliofanya hayo au atazichukua kama mchezo huo utaendelea.
 
NUKUU KUTOKA GAZETI LA NIPASHE LEO,

“Nawasihi masheikh na viongozi wengine wa kidini tusitoe fursa kwa wanasiasa waliofilisika, na ambao wameshindwa kujihalalisha mbele ya wananchi kwa kutumia sera za vyama vyao, na badala yake wanakimbilia kupeleka fedha misikitini kwa nia ya kuiteka misikiti yetu na nyumba zingine za ibada, na kuifanya kuwa vituo vya kupigia kura na kampeni badala ya kufanyia ibada".

Aliwasihi viongozi wa dini kulinda heshima zao kwa kusimamama imara kupinga kuhusishwa dini pamoja na madhehebu wanayoyaongoza na siasa na wawatazame wanasiasa ambao wanadhani njia ya kuendea Ikulu ni kupitia nyumba za ibada kuwa watu hao ni hatari. Alisisitiza Shekh Mkuu!
siasa za ccm za makambi, tayari sheikh huyu kashanunuliwa na kambi pinzani ya EL -- yes siasa za mamna hii ni majanga!!
 
Kwa ufupi nyie watumwa wa LOWASA chukueni hiyo na muifanyie kazi, mwambieni mtu wenu hakubaliki, yeye apumzike tu hiyo stroke isije ikamchukua mapema tukaanza kuwa na Lowassa day.

Mwanza hali imechafuka, Wenje na Kiwia wamehamasisha wamachinga kuwa pesa za Lowasa ni za majini, ukizitumia unakula mtaji, ushahidi mbalimbali umetolewa kwenye mikutano hiyo.

Lowassa team watch out, this is banning on your side.
 
Atujulishe atachukua hatua gani kwa wanaokiuka agizo hilo?
Ina maana wewe hujui maana ya nasaha?(nawasihi masheikh--- aliwasihi viongozi wa dini kulinda....!)
sasa unataka achukue hatua gani ilihali yake ni nasaha tu ,si agizo ,amri au fatwa!
 
Ni tamko muhimu sana lakini lina kasoro nyingi sana ambazo zinafanya lionekane kama porojo tupu, kwa mfano:
1/Tamko Limekuja limechelewa sana, haya mambo yameanza muda mrefu sana lakini Mufti(Sheikh Mkuu) amekuwa kimya hivyo kwa wengine litaonekana lina mlenga Lowassa na Lipumba ambao wameripotiwa sana siku za karibuni kufanya hayo.

2/Kwanini Multi asipige marufuku mtu yoyote kufanya siasa misikitini na badala yake yeye amekataza kwa 'Wanasiasa waliofilisika' tu. Vipi kwa mtu ambaye sio mwanasiasa ama kwa mwanasiasa maarufu(Asiyefilisika)?
Kwa tamko hili bado sheikh mkuu naye inaonekana anatumika na wanasiasa fulani kutoa tamko hii.

3/Ameshindwa kusema ni hatua gani amezichukua kwa waliofanya hayo au atazichukua kama mchezo huo utaendelea.
Jamani yule ame wanasihi hajatoa agizo wala fatwa!ni nasaha tu mtu anahiyari ya kufuata au kupuuza!
 
safi sana umewaambia ukweli pesa ambazo wamepora serikalini na kuzificha huko nje sasa hivi wanazitumia kwa kuwashawishi masikini kuwachaguwa tena uchaguzi ujao, hii mijitu ni hatar zaid ya nyoka mwenye sumu
 
Anatumiwa tu na yeye, watu wameanza kutumia nyumba hizi muda mrefu tu na yeye yupo akiona, sasa leo imemuumaje!
Hapo watu ni lazma tukuhisi unatumika mzee!
 
hivi lile LIPUMBA likubwa kubwa lenyewe halijafilisika...asituchanganye
NUKUU KUTOKA GAZETI LA NIPASHE LEO,

"Nawasihi masheikh na viongozi wengine wa kidini tusitoe fursa kwa wanasiasa waliofilisika, na ambao wameshindwa kujihalalisha mbele ya wananchi kwa kutumia sera za vyama vyao, na badala yake wanakimbilia kupeleka fedha misikitini kwa nia ya kuiteka misikiti yetu na nyumba zingine za ibada, na kuifanya kuwa vituo vya kupigia kura na kampeni badala ya kufanyia ibada".

Aliwasihi viongozi wa dini kulinda heshima zao kwa kusimamama imara kupinga kuhusishwa dini pamoja na madhehebu wanayoyaongoza na siasa na wawatazame wanasiasa ambao wanadhani njia ya kuendea Ikulu ni kupitia nyumba za ibada kuwa watu hao ni hatari. Alisisitiza Shekh Mkuu!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom