Chief hizo ni hulka binafsi za watu, watu wa namna hiyo hawawezi kukosekana kwenye jamii, ndiyo maana tunaskia watu wanabaka nguruwe, mbuzi n.k.!Basi tuseme bora yy alieoa
ivi leo hii uko mtaani watoto wangapi wanapewa ujauzito ata walowapa hizo mimba hawajulikani?
Watoto wangapi wanazalilishwa huko mitaani?
Nijibu na hili
M naomba niishie hapa mna ww imani ni tofauti hlf untka kujudge imani nyengine ambayo huna hata elimu nayo bcz ulishalishwa ujinga kwaio m swz kukutoa kwenye ujinga kma ww mwenyew hutaki.kutoka huko.Chief hizo ni hulka binafsi za watu, watu wa namna hiyo hawawezi kukosekana kwenye jamii, ndiyo maana tunaskia watu wanabaka nguruwe, mbuzi n.k.! Ila kwa "utakatifu" aliovishwa huyo muheshimiwa, na kwa kila aina ya dhahama aliyoisababishia dunia hii kwa aliyoyahubiri kipindi hicho, na kwa UKARIBU WAKE NA MUNGU WAKE kama tunavyoaminisha, na kwa UUNGU aliovikwa, Naweza kusema hakustahili kufanya hicho alichofanya, na tuna haki zootee za kumjudge
Nielimishe Chief kuhusu hilo jambo, maana huwa linanikwaza sanaM naomba niishie hapa mna ww imani ni tofauti hlf untka kujudge imani nyengine ambayo huna hata elimu nayo bcz ulishalishwa ujinga kwaio m swz kukutoa kwenye ujinga kma ww mwenyew hutaki.kutoka huko.
Sasa unaomba mvua kipindi cha msimu wa mvua halafu ikinyesha ndio uonekane shujaa..kama unataka uonekane shujaa fanya visivyo wezekana..tofauti na hapo ni ukanjanja tu.Kifupi wewe akili huna kipindi Cha kiangazi huwa kipindi Cha kuvuna mazao yaliyokomaa kwa hiyo unataka waombe mvua inyeshee mazao yaliyokomaa ya kuvunwa yaharibike? Akili huna hata ya kawaida tu
Kipindi Cha mvua mvua inatakiwa inyeshe umeiona inanyesha?Sasa unaomba mvua kipindi cha msimu wa mvua halafu ikinyesha ndio uonekane shujaa..kama unataka uonekane shujaa fanya visivyo wezekana..tofauti na hapo ni ukanjanja tu.
#MaendeleoHayanaChama
Sent using Jamii Forums mobile app
Mvua ilishaondoka na Magufuli tulieni mwone miujiza ya Mungu.Kiongozi mkuu wa waislamu Mufti Sheikh Zuberi aitisha maombi ya siku tatu kwa waislamu wote kuombea mvua yenye heri kuanzia kesho Alhamisi
Maaskofu wakristo naona wanashindana tu kuvaa barakoa hawaitishi maombi kulikoni?
Mliomba korona irudi ilikotoka ikal kichwa, mkaomba Chanjo isije. Tatizo maombi mnayapeleka kwa mungu wa chato.Kongele kwa Mufti kwa kujenga msingi wa uwajibikaji sahihi wa viongozi wa dini- Tufunge tumuombe Mungu atupe mvua.
mfuti ubwabwa anajificha kwenye maombi. Hivi yale maombi ya corona yaliishia wapi?Ahsante sana Mufti mkuu kwa kukumbusha wananchi tumuombe Mungu tupate mvua.
Ok baadae saivi tupo kwenye harakatiNielimishe Chief kuhusu hilo jambo, maana huwa linanikwaza sana
Huo ndiyo uzumbukuku wa kiwango cha lami.Kongele kwa Mufti kwa kujenga msingi wa uwajibikaji sahihi wa viongozi wa dini- Tufunge tumuombe Mungu atupe mvua.
Kila mtume na zama zakeKipindi cha mwenda zake walikuwa wanashinda ikulu wakila tende na ubwabwa.
Yote Yanahitajika wapo sahihiKongele kwa Mufti kwa kujenga msingi wa uwajibikaji sahihi wa viongozi wa dini- Tufunge tumuombe Mungu atupe mvua.