Nafuatilia kauli ya Mufti Mkuu wa BAKWATA Tamzania Sheikh Abubakari Zuberi akimshukuru Rais kwenye ufunguzi wa Msikiti Dodoma kuwa Rais amejenga Msikiti katika maeneo mbalimbali Chato, Kinondoni, Chamwino, Sumbawanga nk na kurejesha mali za Waislamu zilizopotea.
Mimi niseme wazi Rais Magufuli amejitahidi sana kugusa kila nyanja bila ubaguzi wewe kidini, kikanda na kikabila
Shukrani zetu ni kumpa kura na kisha tuendelee kumuombea.
Mimi niseme wazi Rais Magufuli amejitahidi sana kugusa kila nyanja bila ubaguzi wewe kidini, kikanda na kikabila
Shukrani zetu ni kumpa kura na kisha tuendelee kumuombea.